Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Muda mfupi uliopita, msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukielekea Kamachumu umeua mtoto wa shule ya msingi katika maeneo ya Muhutwe - Muleba Kaskazini.
Hii ni habari ya kusikitisha na ninawapa pole wafiwa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Mdau: Darlene Kisha
Chanzo: Blog ya Haki Ngowi
Hii ni habari ya kusikitisha na ninawapa pole wafiwa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Mdau: Darlene Kisha
Chanzo: Blog ya Haki Ngowi