M4C a nonstater, a failure.
M4C a nonstater, a failure.
Hivi hawa wenye tishet nyekundu wanawatoaga wapi? Wana mafunzo au wanawavalisha tu miwani ya kininja na Viatu vya mtumba na suruali nyeusi ili waonekane na wao ni kama walinzi? Au ndio wanaoitwa Red Brigade?
May be this is a failure to you. Na CCM Iringa mtakiona cha mtemakuni.
Tunangojea press conference. Hii inatupa tabu kidogo.
hivi ZeMarcopolo et al CDM Si inakufa, na Dr. Slaa hana tena mvuto kwa raia mbona nguvu nyingi hvi kupotezwa tena anakopita? Kwanini tusfanye mengne?