Msaada!

mtu mzima mwenzangu pokea huu msamiati "pilau kamwe haitoi harufu ya ugali" , nina hakika umenielewa ila weka kwenye bracket lizzy asifaham. this is great thinking talk now.

...definately bana, "kuku ala kwa urefu wa mdomo wake!".
Hii 'ndoa' uhalalishaji wake nimeuweka kwenye (mabano)kwa matumizi ya baadae.
...Aaah, ngoja nikalale mie mwanawane! Lizzy naona kama kakusudia kuniotesha ndoto mbaya!
 
Eti jamani kama msichana amewahi kuwa na mtu alafu wakaachana...huyo kaka akija kumuoa dada wa msichana ni sawa?Hapo wote wanajua na wameridhia sio kinyemela!
inaweza kutokea ila it doesn't sound good, hao ndugu watakuwa wakitiliana sana mashaka, pia mume mtu anaweza kuwa 1 haikai,mbili inaruka,3 haisomi sijuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Si sawa kwa mujibu wa maadili ya nani? Na utamaduni wa "tz" ndo upi huo? Manake sijawahi sikia kuwa kuna uniformity katika huo so called utamaduni wa tz!!!

Hivi hakuna makabila ambapo wanaume wanarithi wadogo za wake zao endapo wake zao wakifa?

Mkuu nadhani hawa ni wazima wa afya tele! Tatizo ni pale x-atapokuja kusalimia au kumsaidia nduguyake anapo umwa/jifungua, lazima mzee asicheze mbali.... In short Si sawa
 
inaweza kutokea ila it doesn't sound good, hao ndugu watakuwa wakitiliana sana mashaka, pia mume mtu anaweza kuwa 1 haikai,mbili inaruka,3 haisomi sijuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Watiliane mashaka ya nini tena?
 
Mkuu nadhani hawa ni wazima wa afya tele! Tatizo ni pale x-atapokuja kusalimia au kumsaidia nduguyake anapo umwa/jifungua, lazima mzee asicheze mbali.... In short Si sawa

Huh?Mzee asicheze mbali kwasababu gani?
 
mhh!hii tungo tata!
ex na dada wamependana!!mi swali litanijia..je kulikuwa na matamanio tangu mwanzo!?
kusema la ukweli kwa mila na desturi za kijamii yetu hii imekaa vibaya
ila kwa kufwata mafeelings yao na kama mdogo mtu karidhia mi sioni tatizo
swali ni je wao wako comfortable..maana wategemee kunyooshewa vidole, na kutolewa macho na jamii
kama wako comfo waendelee tu.
 
Kama wote wahusika wameridhia, tena kwa dhati kabisa sioni kwa nini isiwe sawa! Natumaini ya kabla ya kufikia maridhio walijadili kila kitu kwa uwazi na ukweli na hatimaye kufikia hilo hitimisho la kuridhia.

So why would anyone have beef?

Mh Kusema ukweli ninasikitika sana kuiona Africa inavyoangamia na kubakia jina. Maadili ya kiafrica or rather kitanzania yalikuwa mema sana na yaliepusha mengi. Zamani extended families zilikuwa na strong bond kiasi kwamba mtoto wa shangazi wa shangazi yako unamwona kama dada yako wa toka nikutoe na kwa mantiki hii haikuwa sahihi kushare bwana/bibi lakini kwa siku hizi haya yote yamepotea sasa mtu na dada toka nikutoke wanaolewa na mume mmoja!! Hili pia lahitaji kuangaliwa kwa mapana. Kenya nadhani wakikuyu au luo sikumbuki vema mtu na dadake wanaolewa na bwana mmoja kwao hii mada isingekuwa issue kabisa.

Lakini kwetu kwa kweli mh naiona ngumu kiasi kwa sababu sijui ya uzee au > Hawa wadada ni ndugu kushare mh sidhani kama yafaa, lakini pia mkishakuwa wapenzi mnawezakuachana kabisa pasipo kukumbushia kama mko karibu karibu? Ibilisi lazima ataweka kambi kwenu.

Hivi Boyfriend wa binti akimwacha awezamuoa mamake binti (wa kambo) tuseme?
 
Ni sawa kama dada mtu atakuwa amefariki akaolewa mdogo mtu lakini wote wapo hai kuna siku wataoneana wivu
 
MJ1 baadhi ya mila zetu si zinaruhusu mabinamu kuoana?Hiyo extended family inakua na matatizo ama?
 
MJ1 baadhi ya mila zetu si zinaruhusu mabinamu kuoana?Hiyo extended family inakua na matatizo ama?
Ni kweli inaruhusu binamu kwa binamu kuoana but si kuoleana.....yaani bwana aje aoe nyumba moja au huyo binamu atembee na binti mmoja kisha aje amwoe mwingine!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom