Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,812
- 59,392
- Thread starter
- #81
WL kulikua hamna kutamaniana kabla!Ila kwa vyovyote vile naona kwenye kitabu chako itakua hairuhusiwi!jamani si sawa kabsaa...ina maana huyo mkaka alikuwa anamtamani/kumpenda dada b4 hawajabreak?yeye dada pia anaona ni sawa kweli?kwanza ni swala la aibu na si utamaduni mzuri