Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 733
- 1,677
Wadau kwema? Aisee hii wiki ya pili sasa kila nikijaribu kupika wali nachemka. Mara siku nyingine napatia mara siku nyingine kinatoka kiini.
Leo kimetoka kiini nimekumbuka nilipokuwa chuo pale udsm niliwahi kuwa natumia rice cooker kwenye umeme wa bure wa mabibo hostel.
Nahitaji rice cooker yenye uwezo wa kupika wali kilo moja na nusu.
Brand ipi ni nzuri na bei yake?
Vipi kuhusu bajeti ya umeme. Rice cooker inakula sana umeme ? Nijiandae kwa bajeti ya umeme kiasi gani kwa mwezi maana almost kwa wiki nitakuwa napika wali kwa rice cooker.
Kingine vipi rice cooker inatoa wali ambao unakuwa umekwiva vizuri ? Au na yenyewe kuilia timing kama unapikia kwenye gesi au mkaa? With much thanks in advance
Leo kimetoka kiini nimekumbuka nilipokuwa chuo pale udsm niliwahi kuwa natumia rice cooker kwenye umeme wa bure wa mabibo hostel.
Nahitaji rice cooker yenye uwezo wa kupika wali kilo moja na nusu.
Brand ipi ni nzuri na bei yake?
Vipi kuhusu bajeti ya umeme. Rice cooker inakula sana umeme ? Nijiandae kwa bajeti ya umeme kiasi gani kwa mwezi maana almost kwa wiki nitakuwa napika wali kwa rice cooker.
Kingine vipi rice cooker inatoa wali ambao unakuwa umekwiva vizuri ? Au na yenyewe kuilia timing kama unapikia kwenye gesi au mkaa? With much thanks in advance