Msaada: Leo Juni 29, 2023 Ofisi za Serikali zipo wazi?

ComputersDAR

JF-Expert Member
Jan 21, 2013
213
242
Habarini wana JF,

Hivi leo Alhamisi Juni 29, 2023 Ofisi za Serikali zipo wazi, au bado ni Eid Al Hajj?

Screenshot 2023-06-29 102227.png
 
Hizi dini zingine uganga wa kienyeji mtupu.

Yani Mungu anashindwa kwenda na wakati kutupa tarehe maalum ya sherehe ya dini yake.

Mpaka hapo inabidi ustuke tu kuwa huyu Mungu ni wa kuchora tu.
 
Calendar yangu made in Tanzania inasema Idd Al Hajj ni June 28 na June 29. Nimeamka asubuhi nina mpango wa kwenda ofisi ya Serikai Posta mara nikasikia wanapiga swala zao mfululizo kwenye maspika.
 
Hizi dini zingine uganga wa kienyeji mtupu.

Yani Mungu anashindwa kwenda na wakati kutupa tarehe maalum ya sherehe ya dini yake.

Mpaka hapo inabidi ustuke tu kuwa huyu Mungu ni wa kuchora tu.
Wewe ndio wa kuchora,Baraza Kuu la Waislamu Tanzani,ilishatangaza Eid ni Tarehe 29 June 2023.Wewe itkuwa ni wa mchongo,hujijui hujitambui.
 
Back
Top Bottom