vert boy
Member
- Nov 29, 2023
- 18
- 23
Habari za wakati huu wana jamii.
Hivi inachukua muda gani kupata namba ya NIDA baada ya kujiandikisha katika ofisi zao? Nakumbuka ilikuwa tarehe 9 October 2023 nilienda kujaza taarifa zangu katika ofisi za NIDA (wilaya ya Siha Kilimanjaro) nilikamilisha kila kitu hadi picha.
Niliambiwa nirudi baada ya wiki mbili ili kwenda kuchukua namba yangu ya NIDA. Wiki mbili zilipoisha nilienda lakini wahudumu wa pale wakaniambia hakuna mtandao na tatizo hilo lipo nchi nzima, wakaniambia nirudi baada ya siku tatu au nifuatilie online, nimejaribu kila njia lakini sijafanikiwa chochote mpaka leo.
Ukizingatia mimi ni mwanafunzi nilipaswa kwenda chuo mwaka jana ila nimeshindwa kutokana na kukosa namba ya NIDA. Nahitaji kufahamu itanichukua muda gani kupata namba ya NIDA?
Naomba kuwasilisha
Hivi inachukua muda gani kupata namba ya NIDA baada ya kujiandikisha katika ofisi zao? Nakumbuka ilikuwa tarehe 9 October 2023 nilienda kujaza taarifa zangu katika ofisi za NIDA (wilaya ya Siha Kilimanjaro) nilikamilisha kila kitu hadi picha.
Niliambiwa nirudi baada ya wiki mbili ili kwenda kuchukua namba yangu ya NIDA. Wiki mbili zilipoisha nilienda lakini wahudumu wa pale wakaniambia hakuna mtandao na tatizo hilo lipo nchi nzima, wakaniambia nirudi baada ya siku tatu au nifuatilie online, nimejaribu kila njia lakini sijafanikiwa chochote mpaka leo.
Ukizingatia mimi ni mwanafunzi nilipaswa kwenda chuo mwaka jana ila nimeshindwa kutokana na kukosa namba ya NIDA. Nahitaji kufahamu itanichukua muda gani kupata namba ya NIDA?
Naomba kuwasilisha