danfodio
Member
- Dec 2, 2018
- 80
- 58
Amani ya bwana Mungu Mwenyezi iwe nanyi enyi ndugu zangu wa jf.
Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa nini hutaki kulipa pesa ya likizo kwa watumishi ambao walitakiwa kulipwa toka Juni 2023?
Watumishi woote waliotakiwa kwenda likizo mwezi Juni 2023 mpaka leo hii hujalipa stahiki zao haliyakuwa sheria inataka watumishi wapewe pesa zao za likizo kabla ya kuanza kwa likizo hiyo.
Na jambo la kushangaza wilaya na majiji mengine nchini watumishi washapewa pesa hizi za likizo ya Juni 2023. Kwa nini wewe Mkurugenzi wa jiji la Mwanza hujawalipa watumishi wako wa jiji?
Kwa mfano walimu wote ambao wanatakiwa kulipwa likizo zao kwa mwezi june 2023 hawajalipwa achilia mbali baadhi ya wauguzi wa afya.
Hivi ingekuwa ni wewe unafanyiwa haya ungefurahia? Mkurugenzi hebu tenda haki kwa kulipa stahiki za watumishi gawa kwa wakati.
Ndugu waziri mwenye dhamana Tamisemi lishughulikieni hili ili kuleta haki kwa hawa watumishi wenu.
Naomba kuwasilisha.
Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa nini hutaki kulipa pesa ya likizo kwa watumishi ambao walitakiwa kulipwa toka Juni 2023?
Watumishi woote waliotakiwa kwenda likizo mwezi Juni 2023 mpaka leo hii hujalipa stahiki zao haliyakuwa sheria inataka watumishi wapewe pesa zao za likizo kabla ya kuanza kwa likizo hiyo.
Na jambo la kushangaza wilaya na majiji mengine nchini watumishi washapewa pesa hizi za likizo ya Juni 2023. Kwa nini wewe Mkurugenzi wa jiji la Mwanza hujawalipa watumishi wako wa jiji?
Kwa mfano walimu wote ambao wanatakiwa kulipwa likizo zao kwa mwezi june 2023 hawajalipwa achilia mbali baadhi ya wauguzi wa afya.
Hivi ingekuwa ni wewe unafanyiwa haya ungefurahia? Mkurugenzi hebu tenda haki kwa kulipa stahiki za watumishi gawa kwa wakati.
Ndugu waziri mwenye dhamana Tamisemi lishughulikieni hili ili kuleta haki kwa hawa watumishi wenu.
Naomba kuwasilisha.