Ndugu wanajf wa jinsia ya kiume naombeni msaada wenu juu ya kuandika barua ya posa,je ni maneno gani huandikwa ndani ya barua ya posa na pia muundo wake ukoje?natumaini wanaume wenzangu wanao jua hili suala watanifahamisha.
Mzee Mtambuzi kijana anataka barua ya POSA sio KUTONGOZA.NImekutana na hii.... sijui yaweza kusaidia....?
Ngoja niperuzi kwenye maktaba ya babu yangu maana yeye alikuwa ni mshenga maarufu huko Kiburugwa....
Lakini kabla sijaja na majibu hebu nieleze unaposa kiislamu, kikristo, au kipagani?
NImekutana na hii.... sijui yaweza kusaidia....?
naposa kikristo na mtoto mwenyewe ni wa kingoni ameniambia kuwa kwao kabla ya kwenda kujitambulisha inabidi itangulie barua ya posa kwanza.
Brother mwenzako anataka fenesi we unampa stafeli.
Dah kwenda kuposa mwanamke ni sanaaa,,,,
kwanza nidokeze kabila na dini ya umposae then nikupe structure ya barua na formula ya namna yakuwasilisha barua hyo........
Barua ya posa inaandikwa na mshenga na siyo muowaji. inshort haya hayakuhusu ni kimbelefront tu kinakusumbuwa. by the way hongera kwa kuwa na nia ya kuoa sikudhani kama bado kuna watu wanafikiria tena kujitafutia matatizo.
Barua ya posa inaandikwa na mshenga na siyo muowaji. inshort haya hayakuhusu ni kimbelefront tu kinakusumbuwa. by the way hongera kwa kuwa na nia ya kuoa sikudhani kama bado kuna watu wanafikiria tena kujitafutia matatizo.
Time will tell wait n see.Duu! hivi kuoa ni kujitafutia matatizo kwa hiyo ww Matola huna mke na hutokuja kuoa?