Ukisikia mtu anapatwa na msongo wa mawazo ndiyo hapa Sasa. Nimesota Sana kumpata mtu sahihi (wife material).
Hivi karibuni nimekata shauri kumchumbia mdada fulani baada ya kuwa na vigezo karibu vyote ninavyohitaji, na kuamua kupeleka barua ya posa.
Baada ya siku 3 tu napata sms ya danga fulani ambalo lilikuwa likinipa huduma karibu na bure kila ninapokuwa na kiu likiniarifu kuwa lina ujauzito.
Sijapokea wala kujibu simu/sms zake. Wadau naombeni msaada wa kimawazo natokaje ktk hili?
Hivi karibuni nimekata shauri kumchumbia mdada fulani baada ya kuwa na vigezo karibu vyote ninavyohitaji, na kuamua kupeleka barua ya posa.
Baada ya siku 3 tu napata sms ya danga fulani ambalo lilikuwa likinipa huduma karibu na bure kila ninapokuwa na kiu likiniarifu kuwa lina ujauzito.
Sijapokea wala kujibu simu/sms zake. Wadau naombeni msaada wa kimawazo natokaje ktk hili?