Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,791
- 90,556
Time will tell wait n see...Duu! hivi kuoa ni kujitafutia matatizo kwa hiyo ww Matola huna mke na hutokuja kuoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will tell wait n see...Duu! hivi kuoa ni kujitafutia matatizo kwa hiyo ww Matola huna mke na hutokuja kuoa?
NImekutana na hii.... sijui yaweza kusaidia....?
Mzee Mtambuzi kijana anataka barua ya POSA sio KUTONGOZA.
NImekutana na hii.... sijui yaweza kusaidia....?
naposa kikristo na mtoto mwenyewe ni wa kingoni ameniambia kuwa kwao kabla ya kwenda kujitambulisha inabidi itangulie barua ya posa kwanza.[/QUOTE
Kama wa kingoni simpo,
Kwanza unaanza na blah blah! Unazuga kuwa umekutana na ndege mzuri, lakini asiwe kunguru, prefarrably njiwa au Khanga, wao wanaita Lichundu, then unamalizia kuwa unaomba wakukubalie umfuge huyo ndege.
Tafadhal mshenga inabidi awe msanii flan hivi!
Ukivaa tishet na jinsi siku ya kujitokeza imekula kwako!!!!!
Kaz ni kwako kaka!
Hamna cha barua wala nini. Kaenda mwenyewe akawaambia ana kwa ana "binti yenu nataka kumuoa sasa nimekuja mnipe taratibu na mahitaji ya kukamilisha hilo.". . .kazi kwisha.Lizyy we si una Mume? Tuwekee sempo iliyowalainisha wazee wako wakasarendaa! Vinginevyo nakumbuka ile thread flan ilikuwa inasema ' MANENO TU ANA.........MWENYEWE'
Kama gumu kalale!
BAADA YA KUWEKA ANUANI YAKO.Ndugu wanajf wa jinsia ya kiume naombeni msaada wenu juu ya kuandika barua ya posa,je ni maneno gani huandikwa ndani ya barua ya posa na pia muundo wake ukoje?natumaini wanaume wenzangu wanao jua hili suala watanifahamisha.