Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Habari from TANROAD zinathibitisha kuwa Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu na HR wa Miundo mbinu wamempa dispatch Mr Mrema na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa barabara vijijini Mr Mfugale. Na aliyekuwa meneja wa Tanroad Dar (Mr Nyabakari) amekuwa mkurugenzi wa Miradi-director of projects.
Nafasi hizo yapasa wazitangaze...............wasipeane kiundugunazesheni.........itakuwa ni ufisadi tu wakifanya hivyo................