20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,761
Hii coment imenihuzunisha sanaNi sawa tu... Hawa hata kama walituibia walijenga uchumi imara enzi za Mkapa na ndio vilikuwa vyichwa vyake..
Hawa walioharibu uchumi wetu na ufisadi kutamalaki enzi za JK kuanzia Richmond mpaka Escrow mbona wanakula kuku tu mtaani?? Tena na matusi walitutukana kabisa...