Chini ya mkurugenzi huyu wa mashtaka serikali lazima kila siku itakuwa inapelekwa mchaka mchaka na washtakiwa.
Ebu fikirieni tangu akina Basil Mramba na mwenzie Daniel Yona wahukumiwe kwenda jela miaka mitatu mpaka wamemaliza kifungo leo ndiyo DPP anagundua kwamba kifungu cha 77 (1) alichotumia...
Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba ambao wanatumikia kifungo cha nje pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam, wamepewa kazi nyingine ya kusaidia kuongeza ufanisi ofisini. Mawaziri hao wa zamani...
Mawaziri wa zamani Basil Mramba na Daniel Yona wameripoti katika hospitali ya Sinza Palestina na kukabiziwa vifaa kwa ajili ya kufanya usafi.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliridhia waliokuwa Mawaziri wastaafu Basil Mramba na Daniel Yona kutumikia adhabu ya kifungo cha nje kwa kufanya usafi...
Umofia kwenu wana JF,
Jana ilitolewa hukumu iliyopelekea mawaziri wawili kutupwa jela na vile vile Jana bunge lilipitisha miswada miwili ya mafuta na gesi pamoja na uwazi na uwajibikaji.
Hii hukumu ni zuga tu kututoa kwenye mstari uliowaweka Serikali/Bunge kooni.
Watz tusiyumbishwe na spin...
Hivi kama kesi ya kina Mramba na Mgonja inakaa miaka 8 makabwela waliopo rumande kwa tuhuma watapata lini haki zao?
Kumbuka Mramba kwa nafasi yake na uwezo wake amekuwa nje kwa dhamana muda wote wa kesi
Je kwa wale wasioweza kujidhamini na wamesingiziwa kesi zao?
Kesi ya mramba na Mgonja ilianza...
Hukumu ya aliyekuwa mbunge wa rombo ccm na mwenzake Daniel Yona kuhusu kesi ya kuisababishia serikali hasara ya shilingi bil 11.7 inatarajiwa kutolewa leo.
==============
Chanzo: Nipashe
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh11.7 bilioni inayowakabili mawaziri wa zamani Basil Mramba, Daniel Yona na Katibu mkuu wa zamani wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja imepigwa kalenda hadi Novemba 18, mwaka huu.
Kesi hiyo iliahirishwa jana na Hakimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.