BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
sina tatizo na nauli ya abiria ila nauli za bajaji, magari , guta, na baiskeli mmmmmmh zimezidi!!
lakini kilichozidi zaidi ni kauli ya "watu wapige mbizi" hivi unaweza kweli kuwaambia wananchi maneno hayo au waandishi wa habari wamem-quote vibaya?
haina tofauti na yule aliyesema hata mkila majani ndege itanunuliwa...........
hawa ndo viongozi wetu, na watapata kura za kishindo..... Kweli Bongo ni zaidi ya uijuavyo.................
anyway naenda kununua life jacket mie kuogelea si mchezo, kwikwikwi
lakini kilichozidi zaidi ni kauli ya "watu wapige mbizi" hivi unaweza kweli kuwaambia wananchi maneno hayo au waandishi wa habari wamem-quote vibaya?
haina tofauti na yule aliyesema hata mkila majani ndege itanunuliwa...........
hawa ndo viongozi wetu, na watapata kura za kishindo..... Kweli Bongo ni zaidi ya uijuavyo.................
anyway naenda kununua life jacket mie kuogelea si mchezo, kwikwikwi