The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Kwahiyo wewe unaona hiyo kauli ni sawa kuwajibu watu? Nothing can and will justify such statement like the way you want us to believe....Majid, hakuna kuomba radhi!!! Hawa watu walimzomea. Kama hukumzomea basi wewe hauhusiki na kauli hiyo. Walikosa ustaarabu, kuzomea ni udhalilishaji mkubwa, hakuna anayeweza kuuvumilia. Najua utasema kuwa yeye ni kiongozi, lakini equally, nasema pia na waongozwaji wana wajibu kuwa na heshima na adabu.