LATRA simamieni Utekelezaji wa Nauli za Daladala hasa za Ruti mpya, Wananchi hatuna Mtetezi tunateseka

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,767
21,241
Mamlaka inayosimamia usafiri wa nchi kavu nchini Latra, imetangaza njia mpya katika mikoa ya Dar, Dodoma na Arusha.

Kwa Dar Es Salaam njia hizo ni Bunju sokoni hadi Kivukoni na Bunju hadi gerezani, njia nyingine ni Bunju sokoni hadi Magufuri Bus Terminal, nk.

Kwa Arusha kwa mromboo hadi Fire, kupitia Arusha Tech, Impala, sanawari na fire na kurudi na njia hiyo, nk.

Latra mnafanya vizuri kurahisisha mawasiliano ya usafiri kwa wananchi hasa kwa kutumia usafiri wa umma.

Tatizo kubwa ninaloliona ni usimamizi wa ubora wa hayo magari mnayoyapa vibali, mwanzani sijui ni mapya ila baada ya miezi michache gari kama takataka.

Kubwa na baya zaidi ni usimamizi wa nauli, ukweli nauli zinatuumiza sana wananchi, leo mnasema nauli labda 1050 kesho kutwa unakuta 1200, hapo hakuna mtetezi ukikomaa ulipe 1050 unapigwa vichwa na konda kama jamaa yetu bonge week moja iliyopita.

Mfano, sijui kilometers za Tegeta kwenda Kivukoni na Bunju kwenda simu 2000 ni ngapi, maana nauli ya Bunju to simu ni kubwa kuliko Bunju to kivukoni how?.

Huo ni mfamo mdogo tu na bado maeneo mengine ya nchi kukoje.
 
Mamlaka inayosimamia usafiri wa nchi kavu nchini Latra, imetangaza njia mpya katika mikoa ya Dar, Dodoma na Arusha.

Kwa Dar Es Salaam njia hizo ni Bunju sokoni hadi Kivukoni na Bunju hadi gerezani, njia nyingine ni Bunju sokoni hadi Magufuri Bus Terminal, nk.

Kwa Arusha kwa mromboo hadi Fire, kupitia Arusha Tech, Impala, sanawari na fire na kurudi na njia hiyo, nk.

Latra mnafanya vizuri kurahisisha mawasiliano ya usafiri kwa wananchi hasa kwa kutumia usafiri wa umma.

Tatizo kubwa ninaloliona ni usimamizi wa ubora wa hayo magari mnayoyapa vibali, mwanzani sijui ni mapya ila baada ya miezi michache gari kama takataka.

Kubwa na baya zaidi ni usimamizi wa nauli, ukweli nauli zinatuumiza sana wananchi, leo mnasema nauli labda 1050 kesho kutwa unakuta 1200, hapo hakuna mtetezi ukikomaa ulipe 1050 unapigwa vichwa na konda kama jamaa yetu bonge week moja iliyopita.

Mfano, sijui kilometers za Tegeta kwenda Kivukoni na Bunju kwenda simu 2000 ni ngapi, maana nauli ya Bunju to simu ni kubwa kuliko Bunju to kivukoni how?.

Huo ni mfamo mdogo tu na bado maeneo mengine ya nchi kukoje.
Tegeta kivukoni ni 27km
 
Mamlaka inayosimamia usafiri wa nchi kavu nchini Latra, imetangaza njia mpya katika mikoa ya Dar, Dodoma na Arusha.

Kwa Dar Es Salaam njia hizo ni Bunju sokoni hadi Kivukoni na Bunju hadi gerezani, njia nyingine ni Bunju sokoni hadi Magufuri Bus Terminal, nk.

Kwa Arusha kwa mromboo hadi Fire, kupitia Arusha Tech, Impala, sanawari na fire na kurudi na njia hiyo, nk.

Latra mnafanya vizuri kurahisisha mawasiliano ya usafiri kwa wananchi hasa kwa kutumia usafiri wa umma.

Tatizo kubwa ninaloliona ni usimamizi wa ubora wa hayo magari mnayoyapa vibali, mwanzani sijui ni mapya ila baada ya miezi michache gari kama takataka.

Kubwa na baya zaidi ni usimamizi wa nauli, ukweli nauli zinatuumiza sana wananchi, leo mnasema nauli labda 1050 kesho kutwa unakuta 1200, hapo hakuna mtetezi ukikomaa ulipe 1050 unapigwa vichwa na konda kama jamaa yetu bonge week moja iliyopita.

Mfano, sijui kilometers za Tegeta kwenda Kivukoni na Bunju kwenda simu 2000 ni ngapi, maana nauli ya Bunju to simu ni kubwa kuliko Bunju to kivukoni how?.

Huo ni mfamo mdogo tu na bado maeneo mengine ya nchi kukoje.
Asante kaka BONGE
 
Kuna hii Kawe-Kariakoo nauli ni Tsh. 600 kwa umbali wa Kilomota 14 lakini Kawe-Karume ni Kilomita 14 hizo hizo ila nauli ni Tsh. 700 kwa gari za Mbagala. Ipo siku tutalazana pabaya
 
1300 mtu unalia?
Sio wanalia ndugu,huo ni uchungu zidi ya fedha zao kwani wanazipata kwa shida kaka lazima waumie.
Kwa maoni yangu Huenda yakakukela ila Nisamehe.
Serikali ikiona vyema ishikilie hapohapo.Kwakuwa umbali wa 35km huwa ni 1500/=.
 
Hauishi maeneo hayo ndiyo maana unasema hayo.
a} Bunju to simu 2000 shs 1050
b} Tegeta to kivukoni shs 800/-
Mim nimempa jibu kutokana na swali lake.
Hivyo basi kutokana na jibu langu nadhani utakuwa ushajenga hoja ya kwamba kuna uibaji .Huu wizi wa wazi wa hawa wanaomiliki usafiri wa umma ndo utibiwe.
 
Back
Top Bottom