Mpiga picha wa Rais ni nani kati ya hawa?

Siijui ila watu wa media huishia ubalozini!. Ben, Choks, Nkurlu, Maura so does Sal, Prem etc, Michu atafungua media yake, alianza na blog, sasa ana web site, photo studio, gazeti, anasambaza net, atafungua TV yake, ile michuzi blog itakuwa live!.
namuongelea MM wa JF nenda chunguza rudi unijibu hapa, katu hatoenda ubalozini, atakuwa the next salva.
 
namuongelea MM wa JF nenda chunguza rudi unijibu hapa, katu hatoenda ubalozini, atakuwa the next salva.
Wewe unamjuwa Mzee Mwanakijiji? uliwahi kumuona wapi? naweza kukupa reward hata ya Dollar Millioni moja ulete picha yake hapa na kamwe hautaweza kuipata hiyo reward.
 
michuzi kapachikwa tu pale kwa sababu aliripoti sana kampeni za kikwete na ni kwa sababu hajasoma angekuwa kasoma angekuwa mkuu wa wilaya , jamaa elimu ni sifuri na ndio maana kawa limbukeni na ni mjeuri sana. inabidi achume muda huu sababu kikwete akitoka lowasa hawezi kumchukua na ndio utakuw mwisho wake na ki blog sizani kama kitakuwa kinalipa tena kwa sababu siku hizi kila kukicha blog mpya inaanzishwa
 
Wewe unamjuwa Mzee Mwanakijiji? uliwahi kumuona wapi? naweza kukupa reward hata ya Dollar Millioni moja ulete picha yake hapa na kamwe hautaweza kuipata hiyo reward.

Kwa dolla millioni moja mimi nitaipata tu.
 
Mwandishi wa Ikulu kazi yake nini?!
Kwa Tanzania hasa huyu Mkwele ni kujipendekeza kwake na kumpa habari zinazomfurahisha tu, usimpe habari wa watoto kukaa chini madarasani na kumweleza kwamba Taifa lako bado kwashakoo ni tatizo.
 
michuzi kapachikwa tu pale kwa sababu aliripoti sana kampeni za kikwete na ni kwa sababu hajasoma angekuwa kasoma angekuwa mkuu wa wilaya , jamaa elimu ni sifuri na ndio maana kawa limbukeni na ni mjeuri sana. inabidi achume muda huu sababu kikwete akitoka lowasa hawezi kumchukua na ndio utakuw mwisho wake na ki blog sizani kama kitakuwa kinalipa tena kwa sababu siku hizi kila kukicha blog mpya inaanzishwa
Mkuu February Kamba, acha kamba!.
  1. Michuzi hajapachikwa pale bali hiyo ni deserving position kwa efforts zake!.
  2. Sio kweli kuwa hajasoma, amesoma sana tuu, ana diploma ya journalism toka TSJ, ana advance diploma toka Ujerumani, ana post graduate diploma toka UK, hivyo hiyo hoja kuwa hajasoma ni uwongo!.
  3. Hivi kuwa DC kunahitaji elimu gani?, mbona kwenye ma DC nawafahamu wapo ambao form four walipata zile "for four years for fighting for food?, wako ma DC hata form four hawakufika!, wako ma DC vichwani ni sifuri kabisa huwezi kuwalinganisha na Michuzi!. Hivi kiukweli watu humu unaiona UD ni dili sana!, unaweza kumlinganisha DC na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi?, mbona DC is nothing!.
  4. Hili la ulimbukeni ni market forces, Watanzania ndio wanaotaka hayo, Michuzi anawapatia wanachotaka, na kwenye Michuzi blog pia kuna ma great thinkers wake wale kina US Blogger etc etc.Hivi nikikuambia circulation ya magazeti ya udaku ni kubwa kuliko ya serious newspapers zote, ukiondoa Mwananchi?!. Hicho ndicho Watanzania wengi wanachotaka!.Michuzi kaona hiyo demand, anawapatia ile kitu roho zao zinapenda! "kuonekana"!.
  5. Blog yake ndio top blog kwa Tanzania, toka juzu, jana , leo na hata kesho!, 2015 Aje rais kutoka Kaskazi au Kusi, Michuzi blog itaendelea kusimama!.
  6. Naomba kukumbushia, humu jf, tuna matatizo makubwa mawili!, "lack of appreciation" na "hate preachers" .
  7. Tuna watu humu wana wa hate wenzao for no apparent reasons!, kuna watu humu wanaumizwa na mafanikio ya wenzao bila sababu za msingi!. Namfahamu Michuzi, toka alipoanzia "on the street" mpaka sasa yuko top "ikulu", amepitia very rough road! na hapo alipo ni deserving position yake kwa kila hali.
  8. Tuna watu humu, hawana appreciation kabisa hata mtu ufanye jema vipi, utaishia kubezwa tuu. Michuzi amefanya mengi makubwa na mazuri tuu. Kitendo tuu cha kumiliki top blog kinastahili pongezi!. Michuzi amefanya efforts kubwa sana kujisomesha, ana kipaji na uwezo mkubwa sana wa kupiga picha!, kufuatia kuanzisha blog yake, yeye ndio ameianzisha ile "Daily News on line"!.
  9. Mimi sioni shida kusimama na mtu ninayemuaminia au kumkubali kama ninavyo simama na ZZK kugombea urais kupitia Chadema au team EL tukisubiria kufika darajani tujipange tutavukaje, or team Membe tukisubiria kuoteshwa, ila all and all, 2015, lazima mwana jf atatinga ikulu ndani ya timu yoyote!.
  10. Mwana jf akinatinga rasmi ikulu, then jf kitatambuliwa kama chombo rasmi cha habari, hadi sherry party zitaripotiwa live not only on jf on line, but jf TV by then!, along side Michuzi TV and PPR TV as well!.

Pasco.
 
Ha ha ha..EL akiingia magogoni hakyanani ntatafuta kazi Rwanda nirejee baada ya miaka 10
Nakushauri, bora anza kutafuta kabla, ili usisubiri mpaka 2015, ikitokea ukakosa, utaishia kujifia kwa depression ya kihoro cha aliyetinga ikulu!. Na watu wanakufa kwa masononeko ya hates, wanipokelewa motoni kutokana na kufa na dhambi ya chuki!.
 
yakhe sisi nataka picha tu! kama napiga kijiji; napiga chuzi; napiga pasco yote sawa tu
 
Ina maana hawa TISS kumbe wameganyika mafungu mengi, mbona wengi ninaowajuwa mimi ni vilaza pasee, sasa hapa umenifumbuwa akili, inawezekana TISS yetu imebaki ile ya kumlinda Rais tu lakini kwingineko ni halijojo.
Mkuu saigon, ala kumbe!..."birds of feather"!. Nilidhani avumaye baharini ni papa (hutaki unaacha), kumbe ....

Wana jf wenzangu!, tuweni na members tunaobishana nao humu jf!, msije kulalamika kuwa "hamkujua"!. Kilipowaka enzi zile ni Le Mutuz aliokoa jahazi, sasa Le Mutuz hayuko nasi, kikiwaka tena itakuwa kazi!. "Ikulu ni Mahali Patakatifu", nashauri tukiijadili Ikulu tuijadili kiutakatifu!.
 
Michuzi amewekwa kumsaidia kumaliza njaa yake na uswahiba alioujenga kwa miaka mingi kumfagilia weeee kila anakokatiza picha,inarushwa sasa fadhila akamvuta kwenye pool,anateua hadi ma proffesional ambao walitakiwa kufanyishwa interview na kuwaingiza utumishi kwanza,baadae wapitie utaratibu uliopo kuwa waajiriwa wa ikulu,na wapangiwe kazi za kufanya kwa JD zao,sasa anawateua na kuwaingiza kwenye misafara....kuwapa per diem wamalize njaa ,ila tusisahau JK alishasema hii ni zamu yetu!
 
Mkuu saigon, ala kumbe!..."birds of feather"!. Nilidhani avumaye baharini ni papa (hutaki unaacha), kumbe ....

Wana jf wenzangu!, tuweni na members tunaobishana nao humu jf!, msije kulalamika kuwa "hamkujua"!. Kilipowaka enzi zile ni Le Mutuz aliokoa jahazi, sasa Le Mutuz hayuko nasi, kikiwaka tena itakuwa kazi!. "Ikulu ni Mahali Patakatifu", nashauri tukiijadili Ikulu tuijadili kiutakatifu!.

yakhe maneno swadakta; itakuwa hatari kubwa Slaa anshaheneza vimada!
 
Kuna mambo ya msingi sana ya kuongelea na kutenda.... PICHA YA RAIS SI ISSUE...!!!
 
Michuzi amewekwa kumsaidia kumaliza njaa yake na uswahiba alioujenga kwa miaka mingi kumfagilia weeee kila anakokatiza picha,inarushwa sasa fadhila akamvuta kwenye pool,anateua hadi ma proffesional ambao walitakiwa kufanyishwa interview na kuwaingiza utumishi kwanza,baadae wapitie utaratibu uliopo kuwa waajiriwa wa ikulu,na wapangiwe kazi za kufanya kwa JD zao,sasa anawateua na kuwaingiza kwenye misafara....kuwapa per diem wamalize njaa ,ila tusisahau JK alishasema hii ni zamu yetu!
Mkuu Lambardi, hili la kusema amewekwa kumsaidi kumaliza njaa yake, sii kweli, ile blog tuu pekee, ina roll lots of money!, jamaa yuko ok!. Kwa hili la kuvutana kwenye pool bila interviews ni kweli, tena bila kufuata taratibu!. Friend aliitwa tuu kwa kupigiwa simu, "njoo" akaenda!, ofisi haikuwa na taarifa, taratibu hazikufuatwa, jamaa wakajikuta hawana jinsi bali kumsimamisha kazi!. Baada ya kazi nzuri kukamilika, wakayamaliza kuitu uzima, jamaa akarejeshwa kazini na kulipwa marejesho yote ya mishahara aliposimamishwa kazi, ndipo akavutiwa jikoni!.
 
Kumkamata shehk sio sululiisho,sululiisho nikuzungumza'apo wana uchochea moto.toka napata akili siwai sikia mtoto au mtu mzima kachoma bibilia,kakojolea,kachana au kakanyaga.vote ivo nimevisikia vikifanywa kwenye msaafu.huu niuchokozi waziwazi,najua mtakuja na hoja yakuchomwa makanisa.makanisa huchomwa baada yakutokea hayo yote.waisilamu hatutaweza vumilia ivo vote,kimsingi amani aiwezi jengwa kwa misingi ya uwoga.amani inajengwa kwa misingi yakua tuna itaji amani sote na sio mtu mmoja kumjengea mwenzake kumuogopa.hii nimbegu ilio pandwa na Ccm na inaota sasa.
 
Wakiwa nje ya nchi wanashindana kufanya shopping na kutafuta wenza wa kulala nao usiku , ishu ya kuweka kumbu kumbu za Ziara sio kipaumbele kwa sababu ni Ziara za matembezi na kuiona dunia zaidi
kuna kazi kubwa aisee.
 
Back
Top Bottom