Mpiga picha wa Rais ni nani kati ya hawa?

Kuna mambo ya msingi sana ya kuongelea na kutenda.... PICHA YA RAIS SI ISSUE...!!!
Nakubaliana na wewe, tuna mambo kibao ya msingi ya kujadili na picha ya rais sio issue!, ila kama kazi yako ni kupiga picha, tenda ya kupiga official potrait photo ya rais ni issue!. Tangu tumepata uhuru, official Potrait ya JK ndio kwa mara ya kwanza imepigwa na mpiga picha mzawa tena he rose from the streets!, sasa amekuwa ndiye mpiga picha rasmi wa Ikulu!. This is an issue kuwa efforts pays!, ukijituma inalipa!.
 
Kutokana na Njaa ya Huyo anaitwa Mchuzi, Huwa anapiga hata picha za private za raisi na kuziweke Kwenye Blog yake au Hata kuziuza kunako Magazeti bila Kuhaririwa na watu wenye Dhamana!!! Shame
 
Mkuu saigon, ala kumbe!..."birds of feather"!. Nilidhani avumaye baharini ni papa (hutaki unaacha), kumbe ....

Wana jf wenzangu!, tuweni na members tunaobishana nao humu jf!, msije kulalamika kuwa "hamkujua"!. Kilipowaka enzi zile ni Le Mutuz aliokoa jahazi, sasa Le Mutuz hayuko nasi, kikiwaka tena itakuwa kazi!. "Ikulu ni Mahali Patakatifu", nashauri tukiijadili Ikulu tuijadili kiutakatifu!.
Nimeamuwa kuacha, hizi si zama za watu wazima kuwaita waandishi uchwara ingawa ni kweli wapo wengi tu uchwara, kila zama na kitabu chake hakuna wa kuzuia wala kumfumba mtu mdomo katika zama hizi za mabadiliko, Le Mutus kama kuna effort alizifanya kwa kumtumia Baba yake ilikuwa ni jukumu lake kwa sababu alikuwa na maslahi na JF.

Ila hii nchi ilipofikia ni lazima nianze kuhoji hii combination:
1. Maxence Melo Mubyanzi vs Salva Rweyemamu

2. Mike Mushi vs Fred Maro.
 
Mkuu February Kamba, acha kamba!.
  1. Michuzi hajapachikwa pale bali hiyo ni deserving position kwa efforts zake!.
  2. Sio kweli kuwa hajasoma, amesoma sana tuu, ana diploma ya journalism toka TSJ, ana advance diploma toka Ujerumani, ana post graduate diploma toka UK, hivyo hiyo hoja kuwa hajasoma ni uwongo!.
  3. Hivi kuwa DC kunahitaji elimu gani?, mbona kwenye ma DC nawafahamu wapo ambao form four walipata zile "for four years for fighting for food?, wako ma DC hata form four hawakufika!, wako ma DC vichwani ni sifuri kabisa huwezi kuwalinganisha na Michuzi!. Hivi kiukweli watu humu unaiona UD ni dili sana!, unaweza kumlinganisha DC na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi?, mbona DC is nothing!.
  4. Hili la ulimbukeni ni market forces, Watanzania ndio wanaotaka hayo, Michuzi anawapatia wanachotaka, na kwenye Michuzi blog pia kuna ma great thinkers wake wale kina US Blogger etc etc.Hivi nikikuambia circulation ya magazeti ya udaku ni kubwa kuliko ya serious newspapers zote, ukiondoa Mwananchi?!. Hicho ndicho Watanzania wengi wanachotaka!.Michuzi kaona hiyo demand, anawapatia ile kitu roho zao zinapenda! "kuonekana"!.
  5. Blog yake ndio top blog kwa Tanzania, toka juzu, jana , leo na hata kesho!, 2015 Aje rais kutoka Kaskazi au Kusi, Michuzi blog itaendelea kusimama!.
  6. Naomba kukumbushia, humu jf, tuna matatizo makubwa mawili!, "lack of appreciation" na "hate preachers" .
  7. Tuna watu humu wana wa hate wenzao for no apparent reasons!, kuna watu humu wanaumizwa na mafanikio ya wenzao bila sababu za msingi!. Namfahamu Michuzi, toka alipoanzia "on the street" mpaka sasa yuko top "ikulu", amepitia very rough road! na hapo alipo ni deserving position yake kwa kila hali.
  8. Tuna watu humu, hawana appreciation kabisa hata mtu ufanye jema vipi, utaishia kubezwa tuu. Michuzi amefanya mengi makubwa na mazuri tuu. Kitendo tuu cha kumiliki top blog kinastahili pongezi!. Michuzi amefanya efforts kubwa sana kujisomesha, ana kipaji na uwezo mkubwa sana wa kupiga picha!, kufuatia kuanzisha blog yake, yeye ndio ameianzisha ile "Daily News on line"!.
  9. Mimi sioni shida kusimama na mtu ninayemuaminia au kumkubali kama ninavyo simama na ZZK kugombea urais kupitia Chadema au team EL tukisubiria kufika darajani tujipange tutavukaje, or team Membe tukisubiria kuoteshwa, ila all and all, 2015, lazima mwana jf atatinga ikulu ndani ya timu yoyote!.
  10. Mwana jf akinatinga rasmi ikulu, then jf kitatambuliwa kama chombo rasmi cha habari, hadi sherry party zitaripotiwa live not only on jf on line, but jf TV by then!, along side Michuzi TV and PPR TV as well!.

Pasco.

Kinachoendelea ni hiki:

MICHUZI kama kawaida ana update website yake, na siku akiamka vizuri huweka hizo video za mheshimiwa rais

FREDDY MARO yeye naona naye anapiga picha

KURUGENZI YA MAWASILIANO (premi et al) wao wamekuja na hiki kitu

IKULU BLOG | Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais

sasa cha kujiuliza hivi hii kurugenzi ya mawasiliano hutengewa kiasi gani kwenye budget yao?

maana mimi sioni kama hiyo the so called website inastahili kuitwa website

na how hard is it for these guys kuwa na youtube channel ili videos na speeches za rais ziwe online?

Lakini tusisahau kuwa huko nyuma kuna thread ilianzishwa na mtu ambaye aliamua kuwa point out hawa watu direct:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/170168-wasiotaka-ikulu-iwe-na-website-hawa-hapa.html

sasa huku kuwa target akina Michuzi na Freddy Maro nadhani ni unfair

Muhim ni kuwa tunajua kuwa idara hii pale ikulu either inaongoza kwa watu wasiofanya kazi na wazugaji or haipewi pesa, vitendea kazi, na haina wataalam
 
Nimeamuwa kuacha, hizi si zama za watu wazima kuwaita waandishi uchwara ingawa ni kweli wapo wengi tu uchwara, kila zama na kitabu chake hakuna wa kuzuia wala kumfumba mtu mdomo katika zama hizi za mabadiliko, Le Mutus kama kuna effort alizifanya kwa kumtumia Baba yake ilikuwa ni jukumu lake kwa sababu alikuwa na maslahi na JF.

Ila hii nchi ilipofikia ni lazima nianze kuhoji hii combination:
1. Maxence Melo Mubyanzi vs Salva Rweyemamu

2. Mike Mushi vs Fred Maro.


Ukitaka kujua unyama aliyofanyiwa Mike Mushi soma thread hii hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/170168-wasiotaka-ikulu-iwe-na-website-hawa-hapa.html

Dogo (enzi zile, siku hizi amekua) aliandika proposala ya kufa mtu ya website mpya ya ikulu wajanja inasemekana wakaichukuia ile proposal wakaenda kuedit na kuiombea DOLA LAKI 6 kwa ajili ya kutengeneza website. Dogo kafuatilia weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka nusra awehuke. Mwishowe Mike aliamua kuanzisha blog ambayo alikuwa ana tumia GOOGLE ku document ziara na speeches za rais just out of PATRIOTISM bas akapigwa mkwara na Premi kuwa aifunge mara moja mtoto wa watu akaishia kukaa tuu na kuumia. Usisahau kuwa MIKE ndiye mwanzilishi wa JAMBO FORUMS

anyway mimi ushauri wangu kwa hawa vijana kuwa kama serikali yao haioni umuhimu wao na michango yao wao waendele kwenye sekta zingine na ikiwezekana wapige transborder kama Rwanda, Malawi, Uganda na kwingineko ambako wanaweza kuthaminiwa na kupewa kazi na serikali za kule.

Kama alivyosema Pasco, sisi huku speciality yetu ni majungu na hatuna mipango ya kufanya mambo ya kueleweka

Ukweli ndio huo.
 
Nakubaliana na wewe, tuna mambo kibao ya msingi ya kujadili na picha ya rais sio issue!, ila kama kazi yako ni kupiga picha, tenda ya kupiga official potrait photo ya rais ni issue!. Tangu tumepata uhuru, official Potrait ya JK ndio kwa mara ya kwanza imepigwa na mpiga picha mzawa tena he rose from the streets!, sasa amekuwa ndiye mpiga picha rasmi wa Ikulu!. This is an issue kuwa efforts pays!, ukijituma inalipa!.

Kwani yule Mhindi sio mzawaau kwa sababu ya rangi yake ?
 
"NANI AMFUNGE PAKA KENGERE" huu ulikuwa mkutano wa panya kujadili ni jinsi gani ya kuepukana na adui yao paka. Jibu likawa ni kumfunga kengere ili apitapo wajue kuwa yupo around, ishu ikawa nani wa kumfunga hiyo kengere sasa?
 
Mpigapicha ni Fred.
Michu ni Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi kama alivyo Premy.
Kwa nchi zetu ni umasikini tuu unatusumbua kulitakiwa kuwepo na Video grapher wa Ikulu
Producer wa Ikulu
Presenter wa Ikulu
Narrator wa Ikulu
Editor wa Ikulu
Studio ya Ikulu. etc

studio si ndo ile aliwapa akina Ruge na THT au?
 
Mkuu February Kamba, acha kamba!.
  1. Michuzi hajapachikwa pale bali hiyo ni deserving position kwa efforts zake!.
  2. Sio kweli kuwa hajasoma, amesoma sana tuu, ana diploma ya journalism toka TSJ, ana advance diploma toka Ujerumani, ana post graduate diploma toka UK, hivyo hiyo hoja kuwa hajasoma ni uwongo!.
  3. Hivi kuwa DC kunahitaji elimu gani?, mbona kwenye ma DC nawafahamu wapo ambao form four walipata zile "for four years for fighting for food?, wako ma DC hata form four hawakufika!, wako ma DC vichwani ni sifuri kabisa huwezi kuwalinganisha na Michuzi!. Hivi kiukweli watu humu unaiona UD ni dili sana!, unaweza kumlinganisha DC na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi?, mbona DC is nothing!.
  4. Hili la ulimbukeni ni market forces, Watanzania ndio wanaotaka hayo, Michuzi anawapatia wanachotaka, na kwenye Michuzi blog pia kuna ma great thinkers wake wale kina US Blogger etc etc.Hivi nikikuambia circulation ya magazeti ya udaku ni kubwa kuliko ya serious newspapers zote, ukiondoa Mwananchi?!. Hicho ndicho Watanzania wengi wanachotaka!.Michuzi kaona hiyo demand, anawapatia ile kitu roho zao zinapenda! "kuonekana"!.
  5. Blog yake ndio top blog kwa Tanzania, toka juzu, jana , leo na hata kesho!, 2015 Aje rais kutoka Kaskazi au Kusi, Michuzi blog itaendelea kusimama!.
  6. Naomba kukumbushia, humu jf, tuna matatizo makubwa mawili!, "lack of appreciation" na "hate preachers" .
  7. Tuna watu humu wana wa hate wenzao for no apparent reasons!, kuna watu humu wanaumizwa na mafanikio ya wenzao bila sababu za msingi!. Namfahamu Michuzi, toka alipoanzia "on the street" mpaka sasa yuko top "ikulu", amepitia very rough road! na hapo alipo ni deserving position yake kwa kila hali.
  8. Tuna watu humu, hawana appreciation kabisa hata mtu ufanye jema vipi, utaishia kubezwa tuu. Michuzi amefanya mengi makubwa na mazuri tuu. Kitendo tuu cha kumiliki top blog kinastahili pongezi!. Michuzi amefanya efforts kubwa sana kujisomesha, ana kipaji na uwezo mkubwa sana wa kupiga picha!, kufuatia kuanzisha blog yake, yeye ndio ameianzisha ile "Daily News on line"!.
  9. Mimi sioni shida kusimama na mtu ninayemuaminia au kumkubali kama ninavyo simama na ZZK kugombea urais kupitia Chadema au team EL tukisubiria kufika darajani tujipange tutavukaje, or team Membe tukisubiria kuoteshwa, ila all and all, 2015, lazima mwana jf atatinga ikulu ndani ya timu yoyote!.
  10. Mwana jf akinatinga rasmi ikulu, then jf kitatambuliwa kama chombo rasmi cha habari, hadi sherry party zitaripotiwa live not only on jf on line, but jf TV by then!, along side Michuzi TV and PPR TV as well!.

Pasco.
tatizo lako pasco ndo hili!!watu mliosoma HGL mkiambiwa kuexplain briefly matajaza karatasi sita..hayo yote ya nini?yani hadi zitto umemuingiza humu wakati hata hii mada haimuhusu,..yani we ni opportunist,ulianza kumsifia el sasa umehamia kwa zitto huku ukipiga ndogondogo kwa el...damn
 
Studio kawapa matapeli kina Ruge Mutahaba na THT yao. labda unielimishe huyu Michuzi ni muajiliwa wa Ikulu au Deiwaka? maana nchi kila kitu is possible.....

Mkuu mpiga picha ni Fred Maro, Michuzi ni deiwaka tu, ilianza hivi, Maro alienda kusoma nadhani Marekani kama sikosei na Michuzi akapendekezwa kumsaidia lakini kilichotokea hata baada ya jamaa kurudi naona Michuzi bado kaganda ikulu, kuwa kenye msafara wa Rais kuna raha yake.
 
Mkuu mpiga picha ni Fred Maro, Michuzi ni deiwaka tu, ilianza hivi, Maro alienda kusoma nadhani Marekani kama sikosei na Michuzi akapendekezwa kumsaidia lakini kilichotokea hata baada ya jamaa kurudi naona Michuzi bado kaganda ikulu, kuwa kenye msafara wa Rais kuna raha yake.
Mkuu Sifongo. Nijuavyo mimi posti ya Michu ni appointment ya Mwandishi Msaidizi na sio Mpiga picha msaidizi, alipoteuliwa aliapishwa!. Hilo la kumshikia Maro pia ni posible ili ki uratatibu, angeazimwa tuu toka Daily News na Maro aliporudi, angerejea kazini kwake!. By the way, jee wajua Maro alifikaje pale Ikulu?. Mwacheni jamani Michuzi, anastahili kuliko!.

Ila pia tuzungemze ukweli, haya mambo ya kuotea nafasi fulani, sometimes mambo sii mambo!, namfahamu mpiga picha fulani aliyestahili kuwa Ikulu by now!, wee acha tuu!.
P.
 
tatizo lako pasco ndo hili!!watu mliosoma HGL mkiambiwa kuexplain briefly matajaza karatasi sita..hayo yote ya nini?yani hadi zitto umemuingiza humu wakati hata hii mada haimuhusu,..yani we ni opportunist,ulianza kumsifia el sasa umehamia kwa zitto huku ukipiga ndogondogo kwa el...damn
Nakubali, mi ni opportunist, namfagilia EL ili nipate chochote, and just incase CCM itapigwa chini, then namfagilia ZZK kwa sababu ndiye yeye atakayesimamishwa Chadema, na ndiye yeye atakayeshinda!. Hivyo kelele zangu zote humu ni njaa ili 2016 niwe ndiye Salva wa ZZK au EL!.
P.
 
Mkuu Sifongo. Nijuavyo mimi posti ya Michu ni appointment ya Mwandishi Msaidizi na sio Mpiga picha msaidizi, alipoteuliwa aliapishwa!. Hilo la kumshikia Maro pia ni posible ili ki uratatibu, angeazimwa tuu toka Daily News na Maro aliporudi, angerejea kazini kwake!. By the way, jee wajua Maro alifikaje pale Ikulu?. Mwacheni jamani Michuzi, anastahili kuliko!.

Ila pia tuzungemze ukweli, haya mambo ya kuotea nafasi fulani, sometimes mambo sii mambo!, namfahamu mpiga picha fulani aliyestahili kuwa Ikulu by now!, wee acha tuu!.
P.

Given a choice mie namuunga mkono huyo CHINGA bwana Michuzi kwani tunajua safari yake alikotokea from the MAINSTREETS

Lakini huyu Maro ni ndugu yake na mama Anna MKAPA na kaingia pale mgongo wa previous first lady. If anything naudhika mama SALMA amekuwa nyuma sana kwenye mambo ya nepotism. Tumebakiwa na Juma pinto ambaye anapita mitaani na kutisha watu kuwa yeye ni ndugu yake mama Salma. Mimi nasema Mama Salma na wewe pachika watu huko ikulu kwani ndio MO na wala usiogope kusemwa kwani kusemwa ni kawaida ya binadamu.

Pia hhuyu Maro alipata ajali na akaumia mkono sasa hiyo camera naishikaje? Hapa ndipo ninapowachoka wachagga, wewe nduuyo first lady bado unataka kupiga picha tuu? Mchagga gani anaendekeza njaa kama mndengereko?

Wacha michuzi naye ale ila Mroki naye apewe. Sioni kwa nini Mwambene apewe line na Mroki aachwe.
 
Back
Top Bottom