Kutoka 37.5 mpaka 56 ndani ya dakika 10 tu??Haya bwana!Nwyz kama una nia njia iko wazi!
Hahaha...ngoja niweke ambayo nakufurahia wewe!
Asante PM ila kukimbizana mi siwezi!
Umepata, kwanini hutaki mambo ya tume ya taifa ya uchaguzi? i mean kuchakachuanaKila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Mkuu umetoa vigezo vingi,mojawapo ni umli usiyopungua miaka 20,lakini ujatuambia hasizidi miaka mingapi!au umri ni unlimited hata miaka 80 unachukua tu mkuu huna ubaguzi,safi sana mkuu!!
Mimi nina vigezo vyote ulivyotaja kwa hiyo ninakufaa kabisa.
Tatizo langu ni wivu tu, huyo jamaa anayekunong'oneza, halafu inaonekana huko kwenye kiuno amekikumbatia, sasa hiyo imeharibu mapenzi yooote niliyokuwa nimeyaandaa kwa ajili yako.
Kama unadhani hakufai na utanihitaji, basi mwambie akuachie mara moja na aondoke asirudi tena.
Nimempiga kibuti tayari!!!Alafu kama ni wivu ndo kabisaaa mapenzi yananoga!!!
Ukali kwani unahusu???Uzuri ni wa ndani sio wa nje bwana!!!
Nakupa dakika tano, otherwise nabadili mawazo nakuacha na hilo limjamaa lililo nyuma yako.
Na Amri yangu hii umeitekeleza; hii inamaanisha mimi ni mali yako halali hapa JF na sipendi kushea na mtu.
Thread Closed...Lizzy thibitisha kwa kunigongea Senksi! Wenye wivu wakasaini mkataba wa Dowans kule.