Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Kwa iyo wewe unafurahi cdm ikipasuka au unakasirika? Iyo mada yako ingekuwa insha ya darasa la tatu kisha uwaambie watunge title,wengi wangesema : mpasuko ccm, wengine wangesema mwandishi alikuwa au amelewa au anaishi milembe Dodoma! Great thinkers wanaojua posts za Zomba hawatashangaa hata kidogo. Ila kwa hii thread umejitahidi kidogo kuficha ujinga wako,hujaweka udini na wala ujamtaja mtu bali umeandika ili ujaze screen yako kisha upost! Hongera.