zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #101
CCM 2005= 80.2%
Chadema 2005= 6%
2010
CCM= 61.2%
Chadema= 26.4%
Ubunge
2005
CCM= Wabunge zaidi ya 200
Chadema= 11
2010
CCM =180+
Chadema= 48
Ruzuku
2005-2010
CCM= Bil 1.3
Chadema=Mil 59
2010-2015
CCM= mil 800
Chadema= Mil 203
Serikali za mitaa
2005
CCM=Zote ispokuwa Karatu, Kigoma na Tarime
Chadema= Karatu, kigoma, Tarime
2010
CCM= Zote (pamoja na michezo ya kina Chatanda) isipokuwa Arusha, Karatu, Ukerewe, Mwanza Hai Kigoma, Kasulu, Kibondo, Moshi n.k
Chadema= Karatu, ukerewe, Mwanza, Hai, Kigoma Moshi, na majoirty Ausha, Mbulu, Hanang, Mbeya, Kinondoni, Moshi vijiji, rombo, Karagwe, Songea, Singida, shinyanga, busanda, Geita, Kasulu n.k
Unasemaje bwana Zoba samahani Zomba?
Naona umesha jijibu mwenyewe, na mie sina la zaidi kwa hilo, umekubali kabisa matokeo na huo ndio msingi mzuri.