johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini ameagiza Uongozi umpatie Kadi ya Uanachama Rais Samia
Lema amesema Chadema haitavumilia kuona Rais Samia anatukanwa na Mawaziri Wote wakiwemo Mwigullu, January, Nape, Ummy, na wengine Wote
Lema ameagiza Zoezi la kumpatia Rais Samia Uanachama wa Chadema lifanyike haraka
Credit: Tanzania Abroad TV
Nawatakieni Sabato Njema 😄
Lema amesema Chadema haitavumilia kuona Rais Samia anatukanwa na Mawaziri Wote wakiwemo Mwigullu, January, Nape, Ummy, na wengine Wote
Lema ameagiza Zoezi la kumpatia Rais Samia Uanachama wa Chadema lifanyike haraka
Credit: Tanzania Abroad TV
Nawatakieni Sabato Njema 😄