zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #21
Hizo ni challenge ndogondogo ktk uongozi na wala sio hatari hata kidogo...for Gold to be Gold then it must pass through furnace,hizo challenge zitatufanya tuwe strong zaidi na zaidi.
Katika watu wote waliojibu hii post, nakuvulia kofia kwa kuchukuwa critisism kuifanya ni progressive badala ya kubishana hovyo. Naomba kagombee nafasi za uongozi Chadema, utaifaa nchi.