Mpasuko Chadema

Hizo ni challenge ndogondogo ktk uongozi na wala sio hatari hata kidogo...for Gold to be Gold then it must pass through furnace,hizo challenge zitatufanya tuwe strong zaidi na zaidi.

Katika watu wote waliojibu hii post, nakuvulia kofia kwa kuchukuwa critisism kuifanya ni progressive badala ya kubishana hovyo. Naomba kagombee nafasi za uongozi Chadema, utaifaa nchi.
 
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema.

1) Kususia Hotuba ya Rais

Hili limetuonyeshaa ni jinsi gani Chadema inavyoendeshwa bila muelekeo, wakati wabunge wao wengi wa-kisusia hotuba ya Rais wengine wengi walisusia shinikizo la Mwenyekiti wao na kuamuwa kuto ingia kabisa bungeni siku hiyo. N awengine tukawaona, usiku huo kwenye hafla ya Rais ilhali viongozi wa Chadema walishinikiza wabunge wa Chadema wote wasiende huko.

2) Kugombea vyeo na nafasi za upendeleo.

Tumeona sakata la nafasi za upendeleo haswa za ubunge jinsi zilivyoleta mvutano ndani ya Chadema na kufikia wana Chademaa wengine kuwachia ngazi, hii ni dalili tosha kuwa utawala wa ndani wa Chadema una mapungufu makubwa.

Tukaona pia jinsi Zitto alivyopigwa chini na Mwenyekiti wake katika kuwania nafasi ya uongozi wa upinzani bungeni. Hali kadhalika tukaona Zitto alivyosulubiwa mpaka kulazwa hiospitali na kupigwa marufuku na uongozo wa Chadema kuwa asiongee na vyombo vya habari kuhusu Chadema kwani yeye si msemaji wa Chadema.

3) Sakata la Arusha:

Tumeona jinsi wengi wa viongozi wa Chadema kutokuhudhuria kwenye maadamano yaliyoshinikizwa na kushadidiwa na viongozi wachache wa Chadema. Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

System at work huh
 
zomba waliokutuma wamekosea sana kwanini wasitumie watu wenye akili timamu katika kufanikisha azima yao.kwa upeo wako na wewe unaamini ipo siku utaiyumbisha CHADEMA? zomba bahati mbaya hujui unachokifanya tafuta namna ya kuinusuru CCM. chadema inawsaosomi tuu na sii mazoba kama wewe.
 
3) Sakata la Arusha:

............ Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

Wewe Zomba,
Hiyo habari ya maiti mbona familia ya marehemu(Baba mzazi na msemaji wa familia) wamekanusha yale yote yaliyoandikwa na habari Leo
Nye mnatoa wapi habari?
Chadema hakuna mpasuko, ila mpasuko uko kwenye ubongo wako na walio kutuma.. System at work
 
Indeed it is.

.....................Paid to defend your hegemonic party within pluralistic system........

...........antithetical to democracy


.....Utachoka mwisho wa siku, tumeshakichoka ki-CCM chako..............


waambie na hao wanaokulipa pia...tumewachoka na HADANGANYIKI MTU....Nyie bwabwajeni tu kama mnavuja....
 
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema.

1) Kususia Hotuba ya Rais

Hili limetuonyeshaa ni jinsi gani Chadema inavyoendeshwa bila muelekeo, wakati wabunge wao wengi wa-kisusia hotuba ya Rais wengine wengi walisusia shinikizo la Mwenyekiti wao na kuamuwa kuto ingia kabisa bungeni siku hiyo. N awengine tukawaona, usiku huo kwenye hafla ya Rais ilhali viongozi wa Chadema walishinikiza wabunge wa Chadema wote wasiende huko.

Bado hoja yako hainyeshi mpasuko labda ungetafuta heading tofauti ungeeleweka kidogo.

2) Kugombea vyeo na nafasi za upendeleo.

Tumeona sakata la nafasi za upendeleo haswa za ubunge jinsi zilivyoleta mvutano ndani ya Chadema na kufikia wana Chademaa wengine kuwachia ngazi, hii ni dalili tosha kuwa utawala wa ndani wa Chadema una mapungufu makubwa.

Tukaona pia jinsi Zitto alivyopigwa chini na Mwenyekiti wake katika kuwania nafasi ya uongozi wa upinzani bungeni. Hali kadhalika tukaona Zitto alivyosulubiwa mpaka kulazwa hiospitali na kupigwa marufuku na uongozo wa Chadema kuwa asiongee na vyombo vya habari kuhusu Chadema kwani yeye si msemaji wa Chadema.

Nidhamu ndani ya organisation yoyote ni muhimu ili kufikia malengo yake.CHADEMA si chama cha kwanza kuchukua hatua hizo watazame simba wakati wanawinda utagundua wananidhamu ya hali ya juu sana.Ikiwa CHADEMA wamemkataza Zitto asibwabawaje kwenye vyombo vya habari tatizo liko wapi ?.Nenda CCM pamoja na mapungufu yake kibao bado nidhamu ya kulinda ufisadi inazingatiwa.

3) Sakata la Arusha:

Tumeona jinsi wengi wa viongozi wa Chadema kutokuhudhuria kwenye maadamano yaliyoshinikizwa na kushadidiwa na viongozi wachache wa Chadema. Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

Labda umesoma gazeti la Uhuru/Mtanzania/Habari Leo ndiyo ukafikia conclusion siwezi kukulaumu.
 
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema.

1) Kususia Hotuba ya Rais

Hili limetuonyeshaa ni jinsi gani Chadema inavyoendeshwa bila muelekeo, wakati wabunge wao wengi wa-kisusia hotuba ya Rais wengine wengi walisusia shinikizo la Mwenyekiti wao na kuamuwa kuto ingia kabisa bungeni siku hiyo. N awengine tukawaona, usiku huo kwenye hafla ya Rais ilhali viongozi wa Chadema walishinikiza wabunge wa Chadema wote wasiende huko.

2) Kugombea vyeo na nafasi za upendeleo.

Tumeona sakata la nafasi za upendeleo haswa za ubunge jinsi zilivyoleta mvutano ndani ya Chadema na kufikia wana Chademaa wengine kuwachia ngazi, hii ni dalili tosha kuwa utawala wa ndani wa Chadema una mapungufu makubwa.

Tukaona pia jinsi Zitto alivyopigwa chini na Mwenyekiti wake katika kuwania nafasi ya uongozi wa upinzani bungeni. Hali kadhalika tukaona Zitto alivyosulubiwa mpaka kulazwa hiospitali na kupigwa marufuku na uongozo wa Chadema kuwa asiongee na vyombo vya habari kuhusu Chadema kwani yeye si msemaji wa Chadema.

3) Sakata la Arusha:

Tumeona jinsi wengi wa viongozi wa Chadema kutokuhudhuria kwenye maadamano yaliyoshinikizwa na kushadidiwa na viongozi wachache wa Chadema. Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

Mwaka huu mtajinyea, na bado!
 
Mr Zomba sasa unaelekea kuwa zombie yaani msukule.Maelezo yako ki ukweli hayana mashiko.But usikate tamaa, keep on trying sir.
 
zomba waliokutuma wamekosea sana kwanini wasitumie watu wenye akili timamu katika kufanikisha azima yao.kwa upeo wako na wewe unaamini ipo siku utaiyumbisha CHADEMA? zomba bahati mbaya hujui unachokifanya tafuta namna ya kuinusuru CCM. chadema inawsaosomi tuu na sii mazoba kama wewe.

Hao wasomi na wewe pia ukishirikiana nao, yachukulieni hayo kuwa ni changamoto na myafanyie kazi. Usitake kubisha vitu vya ukweli na vipo.
 
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema.

1) Kususia Hotuba ya Rais

Hili limetuonyeshaa ni jinsi gani Chadema inavyoendeshwa bila muelekeo, wakati wabunge wao wengi wa-kisusia hotuba ya Rais wengine wengi walisusia shinikizo la Mwenyekiti wao na kuamuwa kuto ingia kabisa bungeni siku hiyo. N awengine tukawaona, usiku huo kwenye hafla ya Rais ilhali viongozi wa Chadema walishinikiza wabunge wa Chadema wote wasiende huko.

2) Kugombea vyeo na nafasi za upendeleo.

Tumeona sakata la nafasi za upendeleo haswa za ubunge jinsi zilivyoleta mvutano ndani ya Chadema na kufikia wana Chademaa wengine kuwachia ngazi, hii ni dalili tosha kuwa utawala wa ndani wa Chadema una mapungufu makubwa.

Tukaona pia jinsi Zitto alivyopigwa chini na Mwenyekiti wake katika kuwania nafasi ya uongozi wa upinzani bungeni. Hali kadhalika tukaona Zitto alivyosulubiwa mpaka kulazwa hiospitali na kupigwa marufuku na uongozo wa Chadema kuwa asiongee na vyombo vya habari kuhusu Chadema kwani yeye si msemaji wa Chadema.

3) Sakata la Arusha:

Tumeona jinsi wengi wa viongozi wa Chadema kutokuhudhuria kwenye maadamano yaliyoshinikizwa na kushadidiwa na viongozi wachache wa Chadema. Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

Aisee unaboa sana kila siku unaandika uozo na upupu;;Sijui unafananaje ila nadhani akili yako ni kama TOILET PAPER ILIYOTUMIKA
 
Wewe Zomba,
Hiyo habari ya maiti mbona familia ya marehemu(Baba mzazi na msemaji wa familia) wamekanusha yale yote yaliyoandikwa na habari Leo
Nye mnatoa wapi habari?
Chadema hakuna mpasuko, ila mpasuko uko kwenye ubongo wako na walio kutuma.. System at work

Utaona kuhusu maiti sikuongelea unachokisema, nimesaema, viongozi wengi hawakuhudhuri na nikakutajia hata jina la mmoja ambae ni kiongozi muhimu Chadema Arusha na nikakuonesha na sababu zake za kutokuhudhuria, jee zinakuingia akilini?
 
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema.

1) Kususia Hotuba ya Rais

Hili limetuonyeshaa ni jinsi gani Chadema inavyoendeshwa bila muelekeo, wakati wabunge wao wengi wa-kisusia hotuba ya Rais wengine wengi walisusia shinikizo la Mwenyekiti wao na kuamuwa kuto ingia kabisa bungeni siku hiyo. N awengine tukawaona, usiku huo kwenye hafla ya Rais ilhali viongozi wa Chadema walishinikiza wabunge wa Chadema wote wasiende huko.

2) Kugombea vyeo na nafasi za upendeleo.

Tumeona sakata la nafasi za upendeleo haswa za ubunge jinsi zilivyoleta mvutano ndani ya Chadema na kufikia wana Chademaa wengine kuwachia ngazi, hii ni dalili tosha kuwa utawala wa ndani wa Chadema una mapungufu makubwa.

Tukaona pia jinsi Zitto alivyopigwa chini na Mwenyekiti wake katika kuwania nafasi ya uongozi wa upinzani bungeni. Hali kadhalika tukaona Zitto alivyosulubiwa mpaka kulazwa hiospitali na kupigwa marufuku na uongozo wa Chadema kuwa asiongee na vyombo vya habari kuhusu Chadema kwani yeye si msemaji wa Chadema.

3) Sakata la Arusha:

Tumeona jinsi wengi wa viongozi wa Chadema kutokuhudhuria kwenye maadamano yaliyoshinikizwa na kushadidiwa na viongozi wachache wa Chadema. Na pia tukaona mvutano mkubwa ukitokea katika kutumia maiti kama njia ya kujipatia umaarufu Chadema, ni viongozi wachache wa Chadema walihudhuria "kuaga miili ya marehemu" hao.

Tukaona kuwa hata Fundikira ambae ni Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chadema mkoani Arusha kukataa kuhudhuria muago huo, akisingizia kuwa alikuwa na wageni nyumbani kwake. Wageni zaidi ya Mwenyekiti wake wa Taifaa na Katibu Mkuu wake na Kuaga "wahanga"? hilo ni la kujiuliza.

Ukitazama kwa juu juu utaona hayo si kama mambo ya kawaida, na ukiingia ndani kidooogo, utaona kuwa huo ni mpasuko na mtafuruku mkubwa ndani ya Chadema.

Wenye macho hawaambiwi tazama, na wenye masikio hawaambiwi...

Zomba; Kama hayo ulosema ni kweli then- CHADEMA kuna demakrasia ya hali ya Juu sana kuliko chama chochote hapa Afrika. KUTHIBITISHA HAYA, NAKUPA MIFANO MICHACHE HIVI:- MALECELA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIZIDIWA HOJA KUHUSU SUALA LA MUUNGANO KILICHOTOKEA AKATENGWA NA CCM NA KUBAKI BEMBELEZA MAMA UPATE MKATE; KOLIMBA ALIPOSEMA CCM IMEKOSA MUELEKEO KILICHOMKUTA MIMI NA WEWE TUNAJUA; Dr. SALIM ALIPOJARIBU KUGOMBEA URAIS UNAJUA NINI KILIMKUTA; Sita aliposimamia bunge kama taasisi na si chama yalompata ninaamini anajuta hadi sasa; Mangula alipojaribu kumoinga JK asigombee urais mwaka 2005 alikutwa na dhahma hadi ya kunyimwa ujumbe wa nyumba kumi. Mashishanga alipomuunga mkono Sumaye kugombea urais yalomkuta Mungu na wewe mnajua.
BWANA ZOBA NI NIKIORODHESHA MIFANO HATA ROBO TU YA MADUDU YALIYOPO KWENYE VYAMA VYA SIASA NJE YA CHADEMA SERVER YA JF ITA-JAM JAMBO AMBALO SITAKI LITOKEE MAANA TUNAHITAJI KUENDELEA KUTOA MAWAZO YETU HUMU..................
Sasa eleza kipi chama bora Kile kinachotoa uhuru kwa wanachama wake kueleza hisia zao au kinachoenda kiimla kama CCM?
 
Kama Issa Shivji ni kijana basi nami nnajidai kwa huo ujana. Hayo nilyokuwekeeni hapo juu, ni baadhi ya mambo, na sijaona hata mmoja akija na jibu la kusema aahh hapa Zomba umekosea haikuwa hivyo ilikuwa hivi na hivi. Hakuna!
=======

Shivi siyo shoga, hawezi kukupenda wewe.
 
Zomba; Kama hayo ulosema ni kweli then- CHADEMA kuna demakrasia ya hali ya Juu sana kuliko chama chochote hapa Afrika. KUTHIBITISHA HAYA, NAKUPA MIFANO MICHACHE HIVI:- MALECELA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIZIDIWA HOJA KUHUSU SUALA LA MUUNGANO KILICHOTOKEA AKATENGWA NA CCM NA KUBAKI BEMBELEZA MAMA UPATE MKATE; KOLIMBA ALIPOSEMA CCM IMEKOSA MUELEKEO KILICHOMKUTA MIMI NA WEWE TUNAJUA; Dr. SALIM ALIPOJARIBU KUGOMBEA URAIS UNAJUA NINI KILIMKUTA; Sita aliposimamia bunge kama taasisi na si chama yalompata ninaamini anajuta hadi sasa; Mangula alipojaribu kumoinga JK asigombee urais mwaka 2005 alikutwa na dhahma hadi ya kunyimwa ujumbe wa nyumba kumi. Mashishanga alipomuunga mkono Sumaye kugombea urais yalomkuta Mungu na wewe mnajua.
BWANA ZOBA NI NIKIORODHESHA MIFANO HATA ROBO TU YA MADUDU YALIYOPO KWENYE VYAMA VYA SIASA NJE YA CHADEMA SERVER YA JF ITA-JAM JAMBO AMBALO SITAKI LITOKEE MAANA TUNAHITAJI KUENDELEA KUTOA MAWAZO YETU HUMU..................
Sasa eleza kipi chama bora Kile kinachotoa uhuru kwa wanachama wake kueleza hisia zao au kinachoenda kiimla kama CCM?

Chama bora ni kile ambacho kinaziona kasoro zake na kuzifanyia kazi.

Hayo yoooote uliyoyasema kuhusu CCM hapa sio mahala pake, anzisha thread yake tutaijibu. Hapa tunaongelea mpasuko bdani ya Chadema, kubali au kataa, upo.
 
Back
Top Bottom