mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Kuna movie nimesahau jina lake,ila kuna watoto walichezea mtambo wa umeme wa baba yao,ukawageuza wakawa wadogo kama sisimizi,basi tone la maji kwao ni mvua,ng'e wanamuona kama tembo,sharubu za paka wananing'inia,nyuki ndio ndege yao,nyasi za ardhini wanaona bonge la msitu,mwenye kujua jina la hii movie naomba aniambie,yaani mpaka leo imepita miaka kama 10 ila nahamu yakuiona tena!!!
Inaitwa Honey I shrunk the kids. part two yake ni Honey I blew up the kid na ya tatu ni Honey we shrunk ourselves!