King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Oooh thanx...ndio ile mwanamke alianguka kutoka milimani alikuwa kashikiliwa na Rambo mkono akamponyoka?
Niliiona zamani sana kama mwaka 1989 kuna baadhi ya scene nimezisahau.
Oooh thanx...ndio ile mwanamke alianguka kutoka milimani alikuwa kashikiliwa na Rambo mkono akamponyoka?
Mzee yupo Hai.
Nilimkubali kwenye Muvi za
1.ANDHA KANOON
View attachment 2059032
2.MARD TANGEWALA
View attachment 2059035
3.TOOFAN
View attachment 2059042
4.GANGAA JAMUNAA
View attachment 2059061
Mr india alicheza nani
Deadly prey(komando kipensi),no retreat no surrender,above the law,lucky seven,anord ya jane,movie zoteee za bushmen(the gods must be crazy),... honourable mention Koyla,loha na teri meheribaniyan......hizi muvi zilifanya utoto wangu uwe mzuri sanaZifuatazo ni baadhi ya movie zangu kali nilizokuwa nazipenda sana wakati wa utotoni!
Commando - Arnold Schwarzenegger
View attachment 55103 View attachment 55104 View attachment 55105
Double impact - Van Damme
View attachment 55107 View attachment 55108 View attachment 55109
Drunken master - Jackie Chain
View attachment 55110 View attachment 55112 View attachment 55113 View attachment 55114
Hadi leo huwa haziniisha hamu kuziangalia, na huwa zinanikumbusha mbali sana!!!
Tupia hapo chini movie gani ilikuwa kali kwako wakati wa utotoni wako/ ujana wako, kwa wengine ni kama vile enzi zileee za video show wakati tv hazijakuwa zimetapakaa hivi!! Ukiweka na picha itakuwa poa zaidi(japo sio sheria)...
We unaangaliaga movie za kihindi?๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฆ๐จ๐ฏ๐ข๐ ๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐ก๐ข๐ง๐๐ข ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐จ ๐ฃ๐๐ฆ๐๐ ๐๐ฅ๐ข๐จ๐ค๐จ๐ญ๐ ๐ค๐๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐๐๐๐๐ ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ ๐ก๐ฎ๐ซ๐ข ๐ณ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ฆ๐๐๐ณ๐ข ๐ก๐๐ซ๐๐๐ฎ ๐๐ค๐๐๐ฆ๐ฎ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ก๐ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ณ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ฆ๐๐๐ณ๐ข ๐๐๐๐๐๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐๐๐ฎ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ค๐ข๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ฆ๐๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ฆ๐ฎ๐๐ง๐ ๐ฎ๐ฌ๐ก๐ข๐ ๐ค๐๐ฌ๐ข ๐ฒ๐๐ฒ๐, ๐ฆ๐จ๐ฏ๐ข๐ ๐ข๐ง๐๐ข๐ญ๐ฐ๐ ๐๐๐ง๐ฎ๐๐ฅ๐ฒ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฌ๐ข๐ฃ๐๐ค๐จ๐ฌ๐๐.
Mwaka 1988?Mzee ongezea na hili dude la mwaka 1975...
Kwangu mimi mpaka sasa ndio filamu bora zaidi ya kihindi kwa muda wote...
Amitah,Dharmendra,Amjad khan,Jaya,Hema Malini na Sanjeev Kumar...
Mara ya kwanza kuiona hii filamu ni mwaka 1988 na mpaka sasa sikumbuki nimeitazama mara ngapi,pengine mara mia moja!!
Ila nina uhakika nitaendelea kuitazama tena na tena kwani bado sijaichoka.
SHOLAY...View attachment 2059082
Ndio swahiba zama hizo eneo nililokuwa naishi banda la kuonesha video lilikuwa moja tu hilo nyomi lake sasa!.Mwaka 1988?
Naipata hii movie nimeitazama kama mara sita hivi huyu star master wake wawili waliuliwa na jamaa wawili wana mapigo hao yule star alikua kama mcharuko fulani hvSnake in the monkey shadow, ilikuwa boonge la movie....
View attachment 55370 View attachment 55371 View attachment 55373
View attachment 55374 View attachment 55375 View attachment 55376
kuna hao waliovaa bluu walikuwa wanapiga za kinyoka nyoka za ukweli, walishindikana, ikabidi staring ajifunze za ki-monkey-monkey ili aweze kuua nyoka...
Jikumbushe hapa: Snake in the Monkey's Shadow - YouTube
Ndio dada angu naangaliaga vip we hauzipendi zenye love storyWe unaangaliaga movie za kihindi?
Nilivyo sipendi wahindi jamani hata movie zao naziangaliaje?Ndio dada angu naangaliaga vip we hauzipendi zenye love story
Nilivyo sipendi wahindi jamani hata movie zao naziangaliaje