Mkuu ukitaka kucheza soka inakulazimu ufuate SHERIA na KANUNI zake. Hawa si watumishi wa Mungu ila wameingia Upandre kuganga njaa, mbona baadhi ya wachungaji na masheik wanafanya haya haya?Kile kipengele cha ukiwa padri hutakiwi kuoa inabidi kirekebishwe... Bora huyu anagonga wanawake, lakini ma padri wengi wanawalawiti vijana wa kiume....
Paulo kawafanyia uhuni sana yeye alikua hana nguvu zakiume kabisa sasa nyinyi mapadre mtamuigiliziaje mtu mgonjwa???
Paulo kawafanyia uhuni sana yeye alikua hana nguvu zakiume kabisa sasa nyinyi mapadre mtamuigiliziaje mtu mgonjwa???