hahahaahahahahahahahah hiyo picha ya kwanza nimecheka sana lol
soma maelezo mimi sijui mkuu ila mumewa atakuwa hana hamu tena aisee lol aibu sana naona bora angefumwa yuko na mtoto mzuri ajabu potelea mbali lol hilo jimama minyama na amejitwika aibu sana.
soma maelezo mimi sijui mkuu ila mumewa atakuwa hana hamu tena aisee lol aibu sana naona bora angefumwa yuko na mtoto mzuri ajabu potelea mbali lol hilo jimama minyama na amejitwika aibu sana.
Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
hivi walio na wenza hawatoki nje?sasa umefika wakati hawa watu waruhusiwe kuwa na wenza.
Wakuu naomba kujua ni adhabu gani mtu ukapewa halafu isikuadhiri Kisaikolojia?
Mod please! imevuka mipaka.
hivi walio na wenza hawatoki nje?
hahahaahahaahahah dalaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kufumaniwa noma hapo ungemuuliza 1+1=????????? asingeweza hahahaahah nimecheka sana
Adhabu za kikanisa zipo... Na hakuna mahara apanamruhusu kikanisa kufanya maovu hayo..... Kimsingi kuna makosa mawili kwenye jambo hillHuzuni kubwa kwa kanisa.
Angefumaniwa na wewe usingecheka..........hahahaahahaahahah dalaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kufumaniwa noma hapo ungemuuliza 1+1=????????? asingeweza hahahaahah nimecheka sana
shem, nakubaliana nawe kabisa, na wala simtetei Fr. Ngowi hapa.uaminifu ndio nguzo. Fr. Ngowi ameshndwa kuwa mwaminifu kwa kanisa.
Mama P naye ameshndwa kuwa mwaminifu kwenye ndoa.
hahahaahahahahahahahah hiyo picha ya kwanza nimecheka sana lol
Mkuu, ulitaka aache huduma simply kwa kuwa ametenda dhambi? Ingekuwa hivyo sidhani kwa hali ya kibinadamu angebaki hata mmoja asiyetenda dhambi!... hii ya Padre kuingilia ndoa za watu halafu akaendelea na huduma ndio nasikia na wewe
hahahaahahaahahah dalaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kufumaniwa noma hapo ungemuuliza 1+1=????????? asingeweza hahahaahah nimecheka sana