ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Good idea,kuna jukwaa moja huko mafichoni sticky nazo zimezidi,hii idea ingefaa pia
hasa ukiwa unaangalia new posts unahustle balaa..
Good idea,kuna jukwaa moja huko mafichoni sticky nazo zimezidi,hii idea ingefaa pia
hasa ukiwa unaangalia new posts unahustle balaa..
Heheheh wifi nifanyie na ka photocopy kwa ushahidi wa baadae hiyo original we baki nayo......kiukweli ni wazo zuri sana.....hongera kwa wote waliolileta!
pamoja sana dia (source: AshaDii)
Hiii ni nzuri Asha.
Hilo wewe usijali, tena sababu ni wewe zitakuwa original mbili moja yako nyengine yangu... lol
Thanks for the acknowledgement Rutta...
Good idea,kuna jukwaa moja huko mafichoni sticky nazo zimezidi,hii idea ingefaa pia
mkuu si ungeliweka wazi tu kuwa hilo jukwaa ni lipi?:eek2:
Gaijin kwa thread hii husika ama unauliza kwa threads zilizopo MMU or JF in general?
Hii na nyenginezo za MMU
Kigezo cha hii kuwa Sticky ni sababu imekusanya baadhi ya threads zilizowahi postiwa MMU (Most ambazo ziliwekwa sticky) ili kuepusha msongamano wa threads zilizokuwa sticky hapo awali. Hata hivo imegusiwa kuwa kuna ambazo zinafaa kuwekwa 'sticky' na hazipo hivo kumuomba kila alie interested a suggest.
Vigezo vya 'Stickys' za MMU sijajua ni vipi huwa wanatumia,
-ila nina hakika na sababu moja wapo ya 'Sticky'as a result ya kuhusishwa na Mtambuzi hapo nyuma. Hicho kigezo ni kila Ijumaa Mtambuzi hurusha thread based on cases of real life experiences na watu walio guswa na hio experience. Hivo hupost kila Ijumaa, hio thread huwekwa 'Sticky' na siku za mwanzo za week hutolewa...
Nimetoa sababu mbili Gaijin, ipi hiyo unauliza kama nimeambiwa ama makisio tu...