The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Kwa hayo mengine umesema ni maoni yako na yanapaswa kuheshimiwa.Lakn sio vibaya nikitofautiana na wewe hasa hapo kwenye red.THREAD kuwa na mashiko/umuhimu sio kwa sababu mtu kaleta vigezo vyake basi tuvifuate..bali ni kiwango cha umuhimu wa hili suala katika jamii na kinagusa watu kiasi gani..La muhimu zaidi ni ule mjadala mle ndani ya thread kwani mara nyingi watu huwa wanakuja na hoja za msinig na mafundisho na mara nyingine huwa yanakuwa against na mada yenyewe..Kwa hiyo thread inapokuwa sticky basi tuitizame kwa macho matatu na tunaweza jifunza mengi....
exactly....