AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #21
Ndo maana na mimi nilisema sijaelewa haswaa ni nini hapa mnafanya
anyway ni hivi
nakubaliana na NN kuwa threads za sticky ni nyingi mno
na nyingi hazistahili au hatujui ni vigezo vipi zikawekewa sticky....
Lakini bado nafikiri kuna threads zina 'tofauti' hata kama kuna mwingine alisema
theme hiyo hiyo..
mfano thread ya DC ya mwanaume wa kiafrika binafsi sioni kama inafanana na zingine
mfano ile ya mwanaume kamili......hazifanani so kuziunganisha pamoja sio sahihi....
tatu hii idea yako ya kuzi combine threads zenye 'value' fulani MMU....ni nzuri
wasiwasi wangu ni kuwa still baadhi ya threads nzuri zinaweza zisiwepo
na zingine pengine sio nzuri saana zikawepo sababu....it is Ashadii 's taste.....
sio general members taste but then again kupata general members taste nayo sio rahisi...
so ngoja nisubiri nione.......all in all a good idea.....
I was of opinion kuwa nimeweka wazi haya mambo:
- Nime select threads ambazo zilikuwa tayari sticky.
- Nime select threads ambazo nakumbuka kushiriki ama kusoma, nikigusia kuwa kuna uwezekano mkubwa kuna threads zafaa kuwa hapo lakini sizijui, ama zisikumbuki.
- Kila mmoja anaruhusiwa kuweka/suggest links ya threads ambazo yeye personally ama wengi wanaona inafaa.
- Nimegusia kua hili ni wazo ambalo lilinijia nikawa radhi kulifanya kwa kupenda ili kuepusha msongamano wa stickys na vile vile easy retrieve ya threads.
- Swala la general members taste, you are right Boss, ingawa nimejitahidi kwa kiasi kikubwa kuchukuwa yale ambayo yanagusa wengi wetu.
- Threads boss nakubali zimekuwa combine tokana na umuhimu (according to ADI's assumptions); lakini pia kwa kuweka wazi kuwa nipo tyari kukosolewa na kushauriwa mahala ambapo nimekosea.
Tokana na hizo sababu 6, kama bado sijaeleweka, niwe wazi sina tena ujanja wa kuelewesha zaidi ya hapo...