MMU Thread Collection - General Topics discussed and posted in the Forum before Sept 2012

Status
Not open for further replies.
Oh' hio ya Mtambuzi ndio umeona hivo? Then tumelitazama tofauti... Hio nyingine, yeah' nimeambiwa sio makisio yangu tu...

Kuna tofauti kubwa kati ya sababu, chanzo na matokeo. Inaonekana wengine huvifinyanga pamoja.

Niliuliza vigezo ambavyo vinaangukia kwenye ama sababu au chanzo na si matokeo.

Juu ya yote, binafsi sioni mantiki kwa thread yoyote kuwekwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa husika

Sioni mantiki ya mwanamme mmoja kuja na vigezo vyake vya mwanamme wa Kiafrika anatakiwa aweje tukatarajiwa sote kila tukifungua jukwaa tuikute ikitusabahi, au for that matter, msichana na fantasy yake ya mwanamme wa kweli yukoje ndio ikawa kibla cha jukwaa kila tukiingia.

As for this thread na usticky wake, it is as useless as hizo nyengine zinazowekwa sticky kwa maana sio kuwa mtu akitaka kuanzisha thread mpya kuhusu mwanamme wa Kiafrika atakuja adurusu au atalii kwenye uzi huu kwanza kuona kilichowahi kuandikwa.

Ni wastage of space na kero tu kwa wafunguaji jukwaa. Kama thread ni muhimu au maarufu itaendelea kuwa katika top page kutokana na kuchangiwa kwake na hata kufufuliwa na kuendelezwa tena na tena baada ya miezi au miaka kupita (Rejelea "Ungependa kutoka na nani" by Nyani Ngabu)
 
Nilisahau kuweka disclaimer :]



Tanabahi
Thread zote zilizotumika kama mifano katika bandiko hili ni kwa ajili ya ufafanuzi wa hoja pekee, hakuna uhusiano na chuki za aina yoyote kwa waandishi wa thread tajwa
 
Juu ya yote, binafsi sioni mantiki kwa thread yoyote kuwekwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa husika

Mimi na wewe huwa tanakinzana hapo Gaijin, wewe una mitazamo yako... Ninao wangu. Haina haja ya mimi na wewe kuwa na the same angle ya mitazamo (God! It would be so boring...).

Maelezo uliyotowa msingi wake ni kuwa what you think rite or proper is as opposed to what I think... Nakubali kuwa hii thread inaweza isiwe na mantiki kwako BUT kwangu reliant ni maoni toka kwa fellow members... So far sababu majority ya waliopost humu wameona ni muhimu (pamoja na huyo Ngabu uliesema nirejee thread yake) that is what matters to ME.

Do you approve or not? Its not important...

Ni wastage of space na kero tu kwa wafunguaji jukwaa. Kama thread ni muhimu au maarufu itaendelea kuwa katika top page kutokana na kuchangiwa kwake na hata kufufuliwa na kuendelezwa tena na tena baada ya miezi au miaka kupita (Rejelea "Ungependa kutoka na nani" by Nyani Ngabu)

Alafu calm down Gaijin, usiwe unakereka kirahisi hivo bana! Yaani hii thread yangu moja na zingine hapo 3/4 unakereka? Basi naona zilipokuwa zile sijui 15 or more uliacha kabisa kutembea MMU...
 
Mimi na wewe huwa tanakinzana hapo Gaijin, wewe una mitazamo yako... Ninao wangu. Haina haja ya mimi na wewe kuwa na the same angle ya mitazamo (God! It would be so boring...). .

Who said anything about there being a haja ya mimi na wewe kuwa na mtazamo sawa?


Maelezo uliyotowa msingi wake ni kuwa what you think rite or proper is as opposed to what I think... Nakubali kuwa hii thread inaweza isiwe na mantiki kwako BUT kwangu reliant ni maoni toka kwa fellow members... So far sababu majority ya waliopost humu wameona ni muhimu (pamoja na huyo Ngabu uliesema nirejee thread yake) that is what matters to ME. .
Inachekesha kuwa kwa yote niliyoyaandika pamoja na kurejelea thread kadhaa zilizoandikwa na watu mbali na wewe, bado ukadhani kuwa this is about you.

Let me simplify it for you then. It has never been about you and it will never be. Today it was about sticky threads. How about that, any better?


Alafu calm down Gaijin, usiwe unakereka kirahisi hivo bana! Yaani hii thread yangu moja na zingine hapo 3/4 unakereka? Basi naona zilipokuwa zile sijui 15 or more uliacha kabisa kutembea MMU...

Tatizo ni lile lile la kudhani watu wanaangalia personalities au vitu kwa muda mfupi.


Kiswahili lugha unayoitumia lakini inavyoonyesha unaugumu katika kuilewa.

Ni hivi

Kujaa kwa stickies hapo ni kero na ndio maana watu wakalalamika. Sasa hivi kuna thread kidogo zilizo sticky, sawa, baada ya wiki thread ambazo zitatakiwa kuwekwa sticky zitadumbukizwa kwenye thread hii au msururu wa sticky utaanza upya?

Ndio nikasema sioni mantiki ya thread yoyote kuwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa.

Tanabahi
Katika jukwaa huru kama hili watu wote wana uhuru wa kuchangia iwe kwa kuunga mkono au kupinga
 
nadhani inayoonekana 'relevant' katika jumuiya ya MMU au huko kwingineko.

Swali, hii 'relevance' inapimwaje?

pamoja na hayo nimekuja na 'Bendera Nyeupe', taratibu tu mtaelewana.
Nini vigezo vya thread kufanywa kuwa sticky?
 
pamoja na hayo nimekuja na 'Bendera Nyeupe', taratibu tu mtaelewana.

Utaratibu ni kuwa watu wote humu wana haki sawa ya kutoa maoni yao, yawe ya aina yoyote vile alimuradi hawakiuki kanuni na sheria zilizopo.

Hata watu wote kasoro mmoja wakiunga mkono hoja, haiondoi haki ya huyo mmoja alobaki kuandika maoni yake ya kupinga hoja tajwa

Sasa walio insecure, sensitive au super-sensitive wanaweza kuendelea kuwa hivyo ila wakae wakijua hakuna atakaeacha kutumia haki na uhuru wake kwa dosari zao binafsi.

Haijawahi kuwa about personalities na haitaanza leo
 
Who said anything about there being a haja ya mimi na wewe kuwa na mtazamo sawa?

Here we go again...

Inachekesha kuwa kwa yote niliyoyaandika pamoja na kurejelea thread kadhaa zilizoandikwa na watu mbali na wewe, bado ukadhani kuwa this is about you.

I am glad at least nimeweza kukuchekesha... It's a pleasure... Alafu sikufikiria kabisa it was about me - mie nilijua it's about 'stickys'. Au maybe sikung'amua hilo, -Is it about me? Please enlighten..

Let me simplify it for you then. It has never been about you and it will never be. Today it was about sticky threads. How about that, any better?

Yeah'... Better, ila tu am wondering are you serious? You honestly think I think that? C'mon, get over yourself Gaijin. Well, let me simplify it back at you too; Maybe wakati mgeni niliweza fikiri hilo, but I know better kuwa it has NOTHING to do with ME (else unihakikishie hilo - ukanifanya kichwa kivimbe lol) Honestly it would be an honor...

Kujaa kwa stickies hapo ni kero na ndio maana watu wakalalamika. Sasa hivi kuna thread kidogo zilizo sticky, sawa, baada ya wiki thread ambazo zitatakiwa kuwekwa sticky zitadumbukizwa kwenye thread hii au msururu wa sticky utaanza upya?
Ndio nikasema sioni mantiki ya thread yoyote kuwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa. Tanabahi
Katika jukwaa huru kama hili watu wote wana uhuru wa kuchangia iwe kwa kuunga mkono au kupinga

In blue naona you are back to topic...Ni kweli watu walilalama. Na ndio maana ya kuweka hii tharead as a soln ya kupunguza stickys.. Ikitokea kuna thread inawekwa Sticky inategemea ipo vipi. Mfano kama ya Msiba (for instance ile ya KakaKiiza, siku zake za kuwa sticky ikiisha sio rahisi kuwekwa humu kama ilivo pia za Mtambuzi.

Kama ulivosema kuwa thread ya msingi itaonekaa kwa michango wa members na kutoshuka kwake chini... Such a thread inategemea pia inaweza iwe included katika list ya humu ama isiwe included.

Ndio nikasema sioni mantiki ya thread yoyote kuwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa. Tanabahi
Katika jukwaa huru kama hili watu wote wana uhuru wa kuchangia iwe kwa kuunga mkono au kupinga

Hilo ni wazo lako naliheshimu, but haina maana kuwa nalikubali. Narudi pale pale kuwa kuna wale ambao wanaona mantiki (na ndio majority), in this case that is what matters...

Katika jukwaa huru kama hili watu wote wana uhuru wa kuchangia iwe kwa kuunga mkono au kupinga

Haswaa... Na ndio misingi ya discussions... Ingekuwa discussions zote ni one sided kungekuwa hakuna haja ya kujadili. Like I said it would be so boring...
 
Here we go again...

I am glad at least nimeweza kukuchekesha... It's a pleasure... Alafu sikufikiria kabisa it was about me - mie nilijua it's about 'stickys'. Au maybe sikung'amua hilo, -Is it about me? Please enlighten..

Yeah'... Better, ila tu am wondering are you serious? You honestly think I think that? C'mon, get over yourself Gaijin. Well, let me simplify it back at you too; Maybe wakati mgeni niliweza fikiri hilo, but I know better kuwa it has NOTHING to do with ME (else unihakikishie hilo - ukanifanya kichwa kivimbe lol) Honestly it would be an honor...

This is at a perpetual state of being too funny and so sad in all known dimensions

Laughing while shaking my head

Freud would've had a feast
 
thank God chichat hakuna mambo ya stike,ndo mana bishanga najikaliaga siku hizi hukooo chichat,haya majukwaa mengine vichwa gongana na mii shida yangu jf ni kutafuta relaxation nisome nicheke basi.
 
Bishanga upo, kitunguu swaumu wa salad yangu?
Kongosho mboni ya jicho langu,kiraka kwenye tairi la bentley yangu,elastic kwenye kufuli langu na frem ya picha yangu,nakumisije kipenzi.Pokea li mmmmwaaaa na linyamnyam chini ya kitovu chako!
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti kubwa kati ya sababu, chanzo na matokeo. Inaonekana wengine huvifinyanga pamoja.

Niliuliza vigezo ambavyo vinaangukia kwenye ama sababu au chanzo na si matokeo.

Juu ya yote, binafsi sioni mantiki kwa thread yoyote kuwekwa sticky kama haihusiani na utawala au uendeshaji wa jukwaa husika

Sioni mantiki ya mwanamme mmoja kuja na vigezo vyake vya mwanamme wa Kiafrika anatakiwa aweje tukatarajiwa sote kila tukifungua jukwaa tuikute ikitusabahi, au for that matter, msichana na fantasy yake ya mwanamme wa kweli yukoje ndio ikawa kibla cha jukwaa kila tukiingia.

As for this thread na usticky wake, it is as useless as hizo nyengine zinazowekwa sticky kwa maana sio kuwa mtu akitaka kuanzisha thread mpya kuhusu mwanamme wa Kiafrika atakuja adurusu au atalii kwenye uzi huu kwanza kuona kilichowahi kuandikwa.

Ni wastage of space na kero tu kwa wafunguaji jukwaa. Kama thread ni muhimu au maarufu itaendelea kuwa katika top page kutokana na kuchangiwa kwake na hata kufufuliwa na kuendelezwa tena na tena baada ya miezi au miaka kupita (Rejelea "Ungependa kutoka na nani" by Nyani Ngabu)

Kwa hayo mengine umesema ni maoni yako na yanapaswa kuheshimiwa.Lakn sio vibaya nikitofautiana na wewe hasa hapo kwenye red.THREAD kuwa na mashiko/umuhimu sio kwa sababu mtu kaleta vigezo vyake basi tuvifuate..bali ni kiwango cha umuhimu wa hili suala katika jamii na kinagusa watu kiasi gani..La muhimu zaidi ni ule mjadala mle ndani ya thread kwani mara nyingi watu huwa wanakuja na hoja za msinig na mafundisho na mara nyingine huwa yanakuwa against na mada yenyewe..Kwa hiyo thread inapokuwa sticky basi tuitizame kwa macho matatu na tunaweza jifunza mengi....
 
unantukana?

Afu nimegundua tunataka kuchakachua 'stick' sred.

Nikome! Unanijua?

Njoo Bamboo basi :)

Kongosho mboni ya jicho langu,kiraka kwenye tairi la bentley yangu,elastic kwenye kufuli langu na frem ya picha yangu,nakumisije kipenzi.Pokea li mmmmwaaaa na linyamnyam chini ya kitovu chako!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom