Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

Kuna mshkaji niliwahi fanya nae kazi sehem flani kabla sijaacha pale na kuhamia kwingine, sasa akawa ananisumbua na mameseji mara kuna opportunity sijui e-Commerce nataka tufanye itatutoa kimaisha, ukimuuliza ni nini hasa mnafanya? Hasemi ye anataka tuonane anieleze vizuri hiyo fursa, ukiangalia Status zake za Whatsapp asubuhi mpaka jioni ni Motivational Quotes tu za Financial freedom na zinazodharau waajiriwa, Mara mapicha ya Safari n.k, siku naonana nae nikamkuta na jamaa flani sura yake anaonekana hana furaha halafu kachoka, wote wamenyonga tai nikajua tu hawa ndio yaleyale ya network marketing ila nikajifanya sijui kitu, yule jamaa mwingine ndio kaanza kunipa somo na likitabu lao issue za QNet, nimewasikiliza bila kuwa-interupt for 2hrs, walivomaliza wakasema tutapanga session ya pili nikasema poa, nilivoondoka kesho yake nikamwambia yule mshkaji siwezi kufanya hiyo biashara yenu wala usihangaike kunitafuta tena, nimeblock na namba zake nadhani na urafiki mdogo uliokuepo umeisha rasmi. Nafikiri aliona mimi ni easy target.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo swali ni non-starter..

Hata kama waliofanikiwa wapo sio kwamba na wewe utafanikiwa.., Kwa muundo wake wa kupata commission kwa recruitment basi ni hakika wapo waliofanikiwa kwenye tiers za juu hadi kufikia kukurecruit wewe ni kwamba kuna mtu kapata pesa..

Network marketing faida yake kubwa ni contacts and through those contacts wajanja wanauza bidhaa zao pia sio za kampuni tu.., yaani seminars, vitabu n.k., ila kama unataka uingie ili utajirike kwa urahisi might not be that easy..
 
Siku moja nilihudhuria semina yao wale Aim Global jamaa mmoja akajinasibu kumiliki magari na pesa Cash nyingi kama milioni 109 tulivyomaliza Semina zao nikaenda kwa Mama ntilie kupata lunch wale Mama ntilie wa Barabarani chakula cha 1500 nikashangaa namkuta jamaa mwenye milioni 109 tunakula nae Chakula cha 1500 nikasema Hiiiiiiiiiii
 
Wiki 4 zilizopita aliyekuwa classmate wangu alinisumbja sana, alinambia kuna ishu ya investment inaweza kuniingizia mamilion, mimi nikadhan ni true investment, maybe ana project proposal ambayo tunaweza kuingiza pesa tukapata pesa hv

Au maybe kuna kampuni unadhamin mikopo hivi, nikamwuliza ni ishu gani? Akasema haitoshi kuongea kwenye smu maana ni ishu pana.... dah nikatafakari... nikamwuliza, ni forever living? Akasema No, nikamwuliza ni Alliance? Akasena NO... doh.... nikamwambia nidokeze, akasema tuonane....

Sasa kwa kuwa nina miaka sjaonana naye tangu tulivyomaliza chuo, ikanbd niwapigie watu wake wa karibu, mmoja akasema alisikia anafanya kaz kampuni ya mikopo... nikasema oh bas huenda kuna mikopo huku, na kwa kuwa mimi siogopi mikopo na nina shida na pesa za kuingiza kwenye miradi... nikasema ngoja niende..........


Sku imefika, nikachukua usafiri.... fuuuuuuuu mpaka mwege...

Lahaula, kufika kule ananambia hii ishu inaweza kukuingizia had m. 15 kwa mwezi na hata kwa siku

Ishu gani mama???? Q_Net...... mimi lohhhhhh ehz inakuwaje.... oh unanunua bidhA hata moja, unajiunga, na ww unatafuta watu wanajiunga.... aseh, nikafanyiwa semina na watu karibu wanne..... mara kuoneshwa mapicha sjui nini

Dahhhh nilimwangalia classmate wangu nikamhurumia sana, nikawatazama wale vijana wengne wanaosema unapata hata m. 15 kwa wiki, mavazi yao hayafanani hata kidogo, ni watu wanaoonekana bado wanahangaika na kufungwa kifikra......

Sikutaka kuwaudhi, nikawaambia mimi nafanya miradi binafsi.. hata hvyo, nitawasiliana nanyi kesho...... ikawa kimoja

SHIME VIJANA, TUACHE SHORTCUT, PESA ZIPO KAMA TUTAJIINGIZA KTK MIRAD HALISI, KUTHUBUTU PASIPO KUJATA TAMAA. HAKUNA SLOPE KTK KUTAFUTA PESA, TUKUMBUKE MUDA UNAKWENDA

ni heri ukakodi shamba upande mpunga, uvune uuze
Kawaida hawakubali kuongea hii ishu kwenye simu.

SangaweJr
 
Ngoja na Mimi nitoe experience yangu niliwahi kujiunga na oriflame baada ya kumaliza chuo ,nilichagua kujiunga na oriflame kwa sababu Kwanza kiingilio kilikua kidogo(37000/= hapa unapata na baadhi ya products unachagua mwenyewe) Halafu pia aina ya products zao ilinivutia Sana... kwenye kufanya biashara ni wewe utaamua bidhaa gani uanze nazo...unaweza unachagua bidhaa moja tu ndo ukadeal nayo mfano skincare set, au perfume tu,au feminine hygiene, au makeup kits..then kuanzia hapo ndio unaanza kutengeneza wateja wako,uzuri wa hii mtu akishatumia product Halafu imemsaidia Basi unamuambia tu unaweza kujiunga na wewe ununue at a more affordable price tayari unaongeza mtu kwenye network yako.
Cha kuzingatia Kama unauzaje skin Care products please make sure your skin can vouch for you..la sivyo Anza na product nyingine.niliacha baada ya kuanza kufanya kazi ya kile nilichosomea ila mpaka Leo natumia baadhi ya product za oriflame.
 
Ngoja na Mimi nitoe experience yangu niliwahi kujiunga na oriflame baada ya kumaliza chuo ,nilichagua kujiunga na oriflame kwa sababu Kwanza kiingilio kilikua kidogo(37000/= hapa unapata na baadhi ya products unachagua mwenyewe) Halafu pia aina ya products zao ilinivutia Sana... kwenye kufanya biashara ni wewe utaamua bidhaa gani uanze nazo...unaweza unachagua bidhaa moja tu ndo ukadeal nayo mfano skincare set, au perfume tu,au feminine hygiene, au makeup kits..then kuanzia hapo ndio unaanza kutengeneza wateja wako,uzuri wa hii mtu akishatumia product Halafu imemsaidia Basi unamuambia tu unaweza kujiunga na wewe ununue at a more affordable price tayari unaongeza mtu kwenye network yako.
Cha kuzingatia Kama unauzaje skin Care products please make sure your skin can vouch for you..la sivyo Anza na product nyingine.niliacha baada ya kuanza kufanya kazi ya kile nilichosomea ila mpaka Leo natumia baadhi ya product za oriflame.
Vp ulikuwa unaingiziwa pesa kwa account yako??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oriflame kiingilio ni 10,000
Ngoja na Mimi nitoe experience yangu niliwahi kujiunga na oriflame baada ya kumaliza chuo ,nilichagua kujiunga na oriflame kwa sababu Kwanza kiingilio kilikua kidogo(37000/= hapa unapata na baadhi ya products unachagua mwenyewe) Halafu pia aina ya products zao ilinivutia Sana... kwenye kufanya biashara ni wewe utaamua bidhaa gani uanze nazo...unaweza unachagua bidhaa moja tu ndo ukadeal nayo mfano skincare set, au perfume tu,au feminine hygiene, au makeup kits..then kuanzia hapo ndio unaanza kutengeneza wateja wako,uzuri wa hii mtu akishatumia product Halafu imemsaidia Basi unamuambia tu unaweza kujiunga na wewe ununue at a more affordable price tayari unaongeza mtu kwenye network yako.
Cha kuzingatia Kama unauzaje skin Care products please make sure your skin can vouch for you..la sivyo Anza na product nyingine.niliacha baada ya kuanza kufanya kazi ya kile nilichosomea ila mpaka Leo natumia baadhi ya product za oriflame.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good morning!!(changa la macho la kwanza)
Ukipigwa hiyo salamu unawehushwa kwanza jeshini tunasema wiki sita za kutolewa uraia kuingizwa jeshini pili unapigwa speech kali wakimrefer Bill Gates na kitabi cha poor dad rich dad cha kiyosaki cjui ukimalizwa hapo unapewa mda uje presentation ya pili hiyo ucipoenda hata home kwako watakutimbia utaonyeshwa kitabu kina saa mikufu na vifaa vingne vya nyumbani unaambiwa bei ya chini ni dola 2000 cjui saa ya golden rose limited edisheni(edition) ***** zao ukiwa naela ukiweka umeumia ukisema sina unapigwa sound uza hata kiwanja within one year utapiga pesa ndefu unaweza nunua nyumba posta kundindiku so usijali hako kakiwanja mda huo washaidharaulisha ajira yako yaan unalipwa laki saba kazi ilivyongumu ile achana nayo anatoa mfano wa.kisenge nlikuwa mhasibu anakitajia likampuni nlikuwa nalipwa milioni 2 ila nimeacha kazi baada ya hapa qnet kufanya vzr maisha yangu duuuh usipoingia kama mm ww ni Genius
Wana majigambo sana kuna jamaa mmoja alikua ana tufanyia presentation anasema kma ana afford kuvaa saa ya million 5 je akinunua gari itakua ya million ngapi? nikabaki nacheka tu hao viumbe ni kama kuna kitu hua wanapewa maana sio kwa imani hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
funguka mkuu mbinu uliyotumia kuwatapeli mm mwenyew niijaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
yule yule dem alikuwa kimbelembele kuniset alinipigia sim tukuta dar free market kuna mgahawa expensive unaitwa terence.akawa ananiletea pigo zake za kujiona expensive nimetumia vyake kama lunch ya 35.then nikamdrive mpaka ofisini kwao kesho yake nikampiga soundi aniongeezee laki tano maana nauza gari nije kulipia..akaja mpaka nyumba nilio panga tukawa tunauzia gari kimagumashi na dadaangu akatoa pesa akijua wanajiongeza mkenge.jioni yake tukahama coz nilikuwa nimepanga kuhama mda tu. Ile miatano yake nikaitumia kuhama na nikanunua flat
 
Wiki 4 zilizopita aliyekuwa classmate wangu alinisumbja sana, alinambia kuna ishu ya investment inaweza kuniingizia mamilion, mimi nikadhan ni true investment, maybe ana project proposal ambayo tunaweza kuingiza pesa tukapata pesa hv

Au maybe kuna kampuni unadhamin mikopo hivi, nikamwuliza ni ishu gani? Akasema haitoshi kuongea kwenye smu maana ni ishu pana.... dah nikatafakari... nikamwuliza, ni forever living? Akasema No, nikamwuliza ni Alliance? Akasena NO... doh.... nikamwambia nidokeze, akasema tuonane....

Sasa kwa kuwa nina miaka sjaonana naye tangu tulivyomaliza chuo, ikanbd niwapigie watu wake wa karibu, mmoja akasema alisikia anafanya kaz kampuni ya mikopo... nikasema oh bas huenda kuna mikopo huku, na kwa kuwa mimi siogopi mikopo na nina shida na pesa za kuingiza kwenye miradi... nikasema ngoja niende..........


Sku imefika, nikachukua usafiri.... fuuuuuuuu mpaka mwege...

Lahaula, kufika kule ananambia hii ishu inaweza kukuingizia had m. 15 kwa mwezi na hata kwa siku

Ishu gani mama???? Q_Net...... mimi lohhhhhh ehz inakuwaje.... oh unanunua bidhA hata moja, unajiunga, na ww unatafuta watu wanajiunga.... aseh, nikafanyiwa semina na watu karibu wanne..... mara kuoneshwa mapicha sjui nini

Dahhhh nilimwangalia classmate wangu nikamhurumia sana, nikawatazama wale vijana wengne wanaosema unapata hata m. 15 kwa wiki, mavazi yao hayafanani hata kidogo, ni watu wanaoonekana bado wanahangaika na kufungwa kifikra......

Sikutaka kuwaudhi, nikawaambia mimi nafanya miradi binafsi.. hata hvyo, nitawasiliana nanyi kesho...... ikawa kimoja

SHIME VIJANA, TUACHE SHORTCUT, PESA ZIPO KAMA TUTAJIINGIZA KTK MIRAD HALISI, KUTHUBUTU PASIPO KUJATA TAMAA. HAKUNA SLOPE KTK KUTAFUTA PESA, TUKUMBUKE MUDA UNAKWENDA

ni heri ukakodi shamba upande mpunga, uvune uuze

Umenifanya nicheke ila tu sipo katika mlengo wako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom