Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
Kwenye ishu ya Qnet mimi alinifata mtu wangu wa karibu ambae tulimaliza Chuo pamoja, kwa kua alikua anajua shida niliokua nayo maana nilikua nimeacha kazi so maisha yaliku ni taf sana, akiniapigia simu kua kuna mchongo wakuweza kujishighulsha ila hakuniambia ni mchongo gani, nilijipa matumaini na nikamuelezea mke wangu juu ya mazungumzo yetu, siku ya pili yake tukakutana sehemu ambayo alinielekeza nifike, ila kufika tu kuona yale mazingira nikaingiwa na hofu kidogo maana nikawa najiuliza masuali mengi kichwani kwangu ila alinipa hope kwamba nisijali kila kitu kitaenda sawa bin sawiya, ikafika zamu yangu nikaingia ndani wakaniaelezaalionieleza na wakaniambia ili nijiunge natakiwa nitoe Dolla 2,125 nikawaelza nitazipata wapi hizi kwa sasa wakaniambia nenda japo kakope. sikwenda kukopa wala kujiunga nao.
kuna mwana yeye ni mingoni mwa waanzilishi hapa kwetu Zanzibar inasemekana ametoka kwa sababu ameacha kazi ya bank na sasa anaofisi yake ya Qnet.
 
Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
Kwenye ishu ya Qnet mimi alinifata mtu wangu wa karibu ambae tulimaliza Chuo pamoja, kwa kua alikua anajua shida niliokua nayo maana nilikua nimeacha kazi so maisha yaliku ni taf sana, akiniapigia simu kua kuna mchongo wakuweza kujishighulsha ila hakuniambia ni mchongo gani, nilijipa matumaini na nikamuelezea mke wangu juu ya mazungumzo yetu, siku ya pili yake tukakutana sehemu ambayo alinielekeza nifike, ila kufika tu kuona yale mazingira nikaingiwa na hofu kidogo maana nikawa najiuliza masuali mengi kichwani kwangu ila alinipa hope kwamba nisijali kila kitu kitaenda sawa bin sawiya, ikafika zamu yangu nikaingia ndani wakaniaelezaalionieleza na wakaniambia ili nijiunge natakiwa nitoe Dolla 2,125 nikawaelza nitazipata wapi hizi kwa sasa wakaniambia nenda japo kakope. sikwenda kukopa wala kujiunga nao.
kuna mwana yeye ni mingoni mwa waanzilishi hapa kwetu Zanzibar inasemekana yeye ametoka kwa sababu ameac
Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
Wakuu,

Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great millionaire in just few coming days". Nikamuuliza, "Vipi umepata dili la kuwa Contena?(kwa maana ya Msafirishaji wa madawa ya kulevya)".

Akanijibu "Bruv i just need you to lend me 560k Tshs nimepata nafasi ya kuwa milionea kwa kutengeneza pesa na Kampuni moja ya Kifilipino inaitwa Alliance In Motion Global after one year hata wewe nitakuwa nakupumulia kisogoni". I was shocked kivipi laki tano na sitini izae mamiloni ndani ya mwaka mmoja!! Nilimuuliza dogo iwapo amefanya utafiti wa kutosha juu ya hiyo anayooita "platform" na kunijibu kuwa ameshafanya na anawajua watu wengi waliotusua kupitia hiyo Alliance.

Binafsi nampenda sana mdogo wangu, Sikutaka afikirie kuwa namnyima nafasi ya kutekeleza,adhma yake (Japo nilikuwa na wasiwasi) niliamua Kumtumia Sh. Laki 7 ili akifanya hayo mambo yake abaki na balance ya kutumia kwa muda (ili tusisumbuane tena). Now ni mwezi wa 6 huu unaelekea wa 7 tangu ajiunge sioni mabadiliko yoyote, mara ananiambia "Bruv, Haya mambo hayataki haraka pesa ipo inakuja".

Mara, "oh! natengeneza Pair ya watu wangu ili nianze kulipwa". Kuanzia hapo nikajua tu kuwa mdogo wangu alipotea njia kwa kufuata mkumbo na kukubali kuingizwa mkenge coz mpaka sasa hazipiti wiki mbili bila kuniomba pesa za,matumizi.

Siku moja tena ya Mwezi February kuna dada alinifuata ofisini akataka tuongee ili anishirikishe busness yao alijitambulisha kwa A.k.A ya Cherry. nilimpomkubalia akaniambia kuwa anafanya kazi na kampuni ya QNET na kuna mtu alim'direct kwangu (alisita kumtaja) ndipo akaanza kutoa "Likitabu" lake lina picha za simu, saa, mikufu nk.

Kwa ufupi tu ni kwamba alinieleza kuwa kwa kiasi cha kuanzia dola 2000 kwa maana ya Shilingi milioni tano pekee naweza kununua bidhaa moja kama vile saa au mkufu na nikishirikisha wenzangu wengine nitaanza kulipwa pesa...Niliposikia hivyo nilimwangalia yule dada nikamwambia kwa ufupi ".Sista nipo busy sana kwa sasa na pia siwezi kufanya hiyo biashara yako am so sorry".aliondoka akiwa na mfadhaiko usoni mimi sikujali coz Niligundua kuwa hawana tofauti na wale Alliance waliomtapeli mdogo wangu miezi kadhaa iliyopita.

Nyie watu Wa Hayo makampuni tajwa hapo Juu na ninyi mliofanikiwa kupitia haya makampuni (kama mpo humu) hebu jitokezeni mtujuze mlitumia njia gani..otherwise i declare you kama Matapeli mliofumbiwa macho na Serikali.
 
Ukweli halisi wa nertwork marketing kwa wale walioanza wamefanikiwa kupitia hawa wengine waliowaingiza kazi kubwa inakua pale utampata nani umuingize kwenye mnyororo uifyonze ela yake........kutokana na hali ya sasa ya kiuchumi kwenye mifuko ya watu sio rahis kumpata mtu akubali kuingia kwenye mnyororo huu na kupata wateja wa kuwauzia virutubisho kwa tsh.elfu 35 adi 70 kwaio mwisho wa siku aliyeanza kaanza we unayeingia sasa unawanufaisha walioanza...........nilipata kurudisha ela ya mtaji wa forever living baada ya kuwashawishi rafiki zang nilipoona Mambo magumu niliachana izi mambo naendelea na mishe zang tu saiv


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nyingine imeanzisha pyramid scheme kupitia kitu wanaita ".....Plant Stem Cells Therapy...". Utasikia wanatibu kuanzia cancer, kisukari etc. Utashangaa kwa nini MSD wasinunue hizo dawa zao na kuzigawa mahospitalini. Mbinu hizi often wanatafuta watu wenye majina mashuhuri na kujitangaza kuwa wamewasaidia hao watu kutokana na athari za stroke kisukari na kama hayo. Bewarned. Ni pyramid scheme. Upigaji upo palepale.
phyto science? Siyo watu wazuri walipita na mils 18 za mwana
 
Ukweli halisi wa nertwork marketing kwa wale walioanza wamefanikiwa kupitia hawa wengine waliowaingiza kazi kubwa inakua pale utampata nani umuingize kwenye mnyororo uifyonze ela yake........kutokana na hali ya sasa ya kiuchumi kwenye mifuko ya watu sio rahis kumpata mtu akubali kuingia kwenye mnyororo huu na kupata wateja wa kuwauzia virutubisho kwa tsh.elfu 35 adi 70 kwaio mwisho wa siku aliyeanza kaanza we unayeingia sasa unawanufaisha walioanza...........nilipata kurudisha ela ya mtaji wa forever living baada ya kuwashawishi rafiki zang nilipoona Mambo magumu niliachana izi mambo naendelea na mishe zang tu saiv


Sent using Jamii Forums mobile app
Wa mwanzo uwa wanakula wanaofuata wanaliwa ni ponze scheme
 
Kuna nyingine imeanzisha pyramid scheme kupitia kitu wanaita ".....Plant Stem Cells Therapy...". Utasikia wanatibu kuanzia cancer, kisukari etc. Utashangaa kwa nini MSD wasinunue hizo dawa zao na kuzigawa mahospitalini. Mbinu hizi often wanatafuta watu wenye majina mashuhuri na kujitangaza kuwa wamewasaidia hao watu kutokana na athari za stroke kisukari na kama hayo. Bewarned. Ni pyramid scheme. Upigaji upo palepale.
Mkuu unafikili. Nimependa unapo uliza kwa nini wasiwauzie dawa MSD afu wasigawe hospital, hakuna pesa za bure
 
As You've said Uvaaji wa Suti for nothing umeniharibia my own young brother.
Na wewe nakulaumu ulitakiwa uwe mkali mapema na usimpe pesa kwasababu ushakaa kwenye utafutaji unaelewa kabisa hakuna pesa ya bure, Vijana wengi wanadhani unatajiri unapatikana hovyovyo tu
 
Kuna watu kukutapeli wanaona kawaida ila na sisi watanzania tupo Kama vichaa flani hivi . Hivi mtu anakuja kutoka nchi nyingine anakutumia wewe mtanzania kuwatapeli watanzania wenzako na hakuna cha maana unachopata huu si upumbavu wakupindukia yaani tume soma ila elimu haitusaidii kabisa huu ndio ule ukoloni tulio ona wazee wetu Kama wajinga kwa kukubali kuwa uza wafrika wenzetu ndio tunaufanya na sisi kweli afrika Ni shamba la bibi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku mwanza wanjiunga kwa dollar 2200 sawa na milion 5 ,hyo milion tano unachagua bidhaa moja lkn ili ww upate hela wanakuambia uwe na partners share yaani utafute watu ili utengeneze chain sasa najiuliza kama ww masikini umejiunga nao utaenda kutafuta wapi wa kutoa milion 5 wakti na ww marafiki zako ni walewale wenye kipato kama cha kwako
Kuna msela moja hapa tunamsubiria apige hela nitawaletea mrejesho,alijiunga january sasa anasubiria mwezi wa 6
Mkuu vipi mrejesho huyu jamaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku mwanza wanjiunga kwa dollar 2200 sawa na milion 5 ,hyo milion tano unachagua bidhaa moja lkn ili ww upate hela wanakuambia uwe na partners share yaani utafute watu ili utengeneze chain sasa najiuliza kama ww masikini umejiunga nao utaenda kutafuta wapi wa kutoa milion 5 wakti na ww marafiki zako ni walewale wenye kipato kama cha kwako
Kuna msela moja hapa tunamsubiria apige hela nitawaletea mrejesho,alijiunga january sasa anasubiria mwezi wa 6
Tupe feedback mkuu.
 
Tupe feedback mkuu.
Kwahyo hilo gar na nyumba kaipataje kama sio kuwork hard kufikia alipofikia coz mm nimejionea kwa macho yangu na pia kanunua nyumba kwenye apparment Na huwa anasafiri nje kupitia hiyo hiyo busness ni ndugu yangu namfahamu sio kwamba nimeskia na pia nikashawishika kujiunga kwel nikiuza percentage yangu inaingia bank sasa huo uwongo unakuja vipi
Mafanikio yake hayakuwa chachu kwako kujiunga nae ili ufanikiwe? Au hupendi kuwa na gari zuri, appartment nakadhalika?
 
Kuna mwamba wangu alijiunga 2018 na hao jamaa wa Q-NET na ilipofika Januari 2020 akaacha kazi maana alikuwa bado hajapata mtu wa chini yake hivyo wazee wa suti wakamshawishi awe full time.

Sasa tunavyoongea muda huu jamaa anasema bora hiyo 5M angechukua pikipiki boxer 2 ambazo zingekuwa zinampa 20k kwa siku. Kimsingi mambo yameenda kombo ssna
 
Back
Top Bottom