rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Yaani huyu mkuu wa wilaya anafaa sana kuwa waziri mkuu ili awanyoshe wazembe wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu. Jamaa anafaa sana ingawa aekumbwa na kufukuzwa kazi. Shule za serikali ka sasa zinadorora kwa sababu walimu wako bize na shughuli zao binafsi huku watoto (wanafunzi) wakiambulia kucheza tu na mwisho wa siku wanafeli. Wakati mwingine yahitaji maamuzi mazito kama haya ili kunyoosha mambo