Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Mh. Mnali mwenye miwani na suti ya kijivu anavyoonekana katikati ya wachezaji wa timu ya Kagera Sugar.
Huyu bwana pamoja na kukosea kiuwajibikaji alikuwa na kila haki ya kuwacharaza walimu kwani sio tu labda ni kwa sababu ya kutolipwa masilahi yao kwani wanayo pesa nyingi kutokana na miradi yao inayowachukulia muda wao kiasi cha kutowahi au kutofika kazini kabisa.
Hawa walimu wa shule zilizotajwa "Katerero", "Kanazi" na "Kansenene" wapo katika center ya biashara ya abiria na mizigo hasa siku za meli Jumatatu, Jumatano na Ijumaa ambazo ni siku za kazi wao ufanya biashara ya kusafirisha abiria kutota bandarini Kemondo (ipo jirani na shule hizi kata ya KATERERO) kutumia pikipiki zao walizozipata kupitia SACCOS na Pesa za KIKWETE. Hii biashara ni maarufu sana mjini bukoba na vitongoji vyake, tuseme Mkoa wa Kagera kwa ujumla.
Huyu Mh. pamoja na hasira za wilaya yake kuwa ya mwisho kimkoa darasa la saba alijagundua chanzo ni hawa jamaa kutokuwa na moyo wa kazi hiyo tena, nani anapenda pesa ya mwisho wa mwezi wakati ipo ya papo kwa papo. amini usiamini kichwa (abiria) kikikatiza karibu na darasa hilo somo limekufa.
Helmet na majacket mazito ya kuzuia baridi yanakaa tayari darasani.
("Mwalimu Juma kuna kichwa kituoni") hizi shule zote zipo kando kando ya barabara kuu na zina vituo vya abiria.
Mh. Mkuu hakuvumilia pale alipoenda na kukuta kila mmoja anakuja kwa wakati wake ali hali wanafunzi wapo wanacheza.
Aliuliza "Kama mtoto anachelewa anapigwa viboko nipe tofauti yake na wewe ndani ya mazingira ya shule"
Wakacharazwa bwana wee!!! Lakini bila hii Reli ya Kati enzi za Mjerumani ingekuwa ndoto.
Pole Mkuu, ninakuombea JK akufikilie tena kwani umeteleza katika dhamira ya kuinua morali ya kazi sio lazima masilahi hata bakora.
Heko mh. pamoja na kuwa upo nje ya ajira.
Umepoteza kazi ila "MESSAGE SENT"
Huyu bwana pamoja na kukosea kiuwajibikaji alikuwa na kila haki ya kuwacharaza walimu kwani sio tu labda ni kwa sababu ya kutolipwa masilahi yao kwani wanayo pesa nyingi kutokana na miradi yao inayowachukulia muda wao kiasi cha kutowahi au kutofika kazini kabisa.
Hawa walimu wa shule zilizotajwa "Katerero", "Kanazi" na "Kansenene" wapo katika center ya biashara ya abiria na mizigo hasa siku za meli Jumatatu, Jumatano na Ijumaa ambazo ni siku za kazi wao ufanya biashara ya kusafirisha abiria kutota bandarini Kemondo (ipo jirani na shule hizi kata ya KATERERO) kutumia pikipiki zao walizozipata kupitia SACCOS na Pesa za KIKWETE. Hii biashara ni maarufu sana mjini bukoba na vitongoji vyake, tuseme Mkoa wa Kagera kwa ujumla.
Huyu Mh. pamoja na hasira za wilaya yake kuwa ya mwisho kimkoa darasa la saba alijagundua chanzo ni hawa jamaa kutokuwa na moyo wa kazi hiyo tena, nani anapenda pesa ya mwisho wa mwezi wakati ipo ya papo kwa papo. amini usiamini kichwa (abiria) kikikatiza karibu na darasa hilo somo limekufa.
Helmet na majacket mazito ya kuzuia baridi yanakaa tayari darasani.
("Mwalimu Juma kuna kichwa kituoni") hizi shule zote zipo kando kando ya barabara kuu na zina vituo vya abiria.
Mh. Mkuu hakuvumilia pale alipoenda na kukuta kila mmoja anakuja kwa wakati wake ali hali wanafunzi wapo wanacheza.
Aliuliza "Kama mtoto anachelewa anapigwa viboko nipe tofauti yake na wewe ndani ya mazingira ya shule"
Wakacharazwa bwana wee!!! Lakini bila hii Reli ya Kati enzi za Mjerumani ingekuwa ndoto.
Pole Mkuu, ninakuombea JK akufikilie tena kwani umeteleza katika dhamira ya kuinua morali ya kazi sio lazima masilahi hata bakora.
Heko mh. pamoja na kuwa upo nje ya ajira.
Umepoteza kazi ila "MESSAGE SENT"