Serikali kupitia OR TAMISEMI inawajibu wa kuwaajiri walimu hususan wahitimu wa mwaka 2015-2018 kwa mkupuo bila kujali masomo waliosoma.
Walimu hawa wengi wao wapo mitaani wakirandaranda huku na kule ili kuwezesha mikono yao iende kinywani.
KWANINI SERIKALI IWAAJIRI WALIMU HAWA KWA MKUPUO?
1. Ni mfumo uliopelekea walimu hawa wengi kusoma masomo ya arts.
Ukifuatilia kwa kina sana utagundua kuwa walimu hawa ambao hawaajiliki ni wale walioanzisha shule za sekondari za kata katika Miaka ya 2005-2009. Katika shule hizi za kata palikuwa na upungufu mkubwa sana wa vitu vifuatavyo:-
( a) Walimu wa masomo ya sayansi PHYSICS, BASIC MATHEMATICS, CHEMISTRY NA BIOLOGY. Hali hii ilipelekea wanafunzi wengi kutokusoma masomo haya toka kidato cha kwanza mpaka wanaohitimu kidato cha nne.
(b) Shule nyingi kutokuwa na maabara za masomo ya sayansi. Hii ilipelekea wanafunzi wengi kujifunza kwa nadharia na siyo kwa vitendo .
(c) Upungufu mkubwa wa vitabu vya masomo ya sayansi. Kitabu kilikuwa kinamilikiwa na mwalimu tu wanafunzi hawakuweza kupata vitabu vya kujisomea.
Mapungufu haya yalipelekea wanafunzi wengi kujikita kwenye masomo ya SANAA ambayo yalikuwa na walimu wa kutosha,vitabu vya kutosha.
Na ukifuatilia kwa kina sana utagundua walimu hawa walikuwa ni vipanga sana kwa sababu ukizingatia wakati ule ufaulu ulikuwa ni WA wanafunzi 0-5 kwa darasa moja lenye wanafunzi 50-300..
2. Uanzishwaji wa shule mpya za kata. Miaka ya hivi karibuni kumeibuka ongezeko kubwa sana la shule mpya karibia kila halmshauri ina shule mpya 2-5. Hivyo serikali iwaajiri walimu hawa wengi ili waweze kuzifungua shule hizi.
3. Maarifa yanapungua kwa sababu wamekaaa ntaani muda mrefu sana hivyo itachukua muda mrefu sana kwa walimu hawa kuregain momentum..
Walimu hawa wengi wao wapo mitaani wakirandaranda huku na kule ili kuwezesha mikono yao iende kinywani.
KWANINI SERIKALI IWAAJIRI WALIMU HAWA KWA MKUPUO?
1. Ni mfumo uliopelekea walimu hawa wengi kusoma masomo ya arts.
Ukifuatilia kwa kina sana utagundua kuwa walimu hawa ambao hawaajiliki ni wale walioanzisha shule za sekondari za kata katika Miaka ya 2005-2009. Katika shule hizi za kata palikuwa na upungufu mkubwa sana wa vitu vifuatavyo:-
( a) Walimu wa masomo ya sayansi PHYSICS, BASIC MATHEMATICS, CHEMISTRY NA BIOLOGY. Hali hii ilipelekea wanafunzi wengi kutokusoma masomo haya toka kidato cha kwanza mpaka wanaohitimu kidato cha nne.
(b) Shule nyingi kutokuwa na maabara za masomo ya sayansi. Hii ilipelekea wanafunzi wengi kujifunza kwa nadharia na siyo kwa vitendo .
(c) Upungufu mkubwa wa vitabu vya masomo ya sayansi. Kitabu kilikuwa kinamilikiwa na mwalimu tu wanafunzi hawakuweza kupata vitabu vya kujisomea.
Mapungufu haya yalipelekea wanafunzi wengi kujikita kwenye masomo ya SANAA ambayo yalikuwa na walimu wa kutosha,vitabu vya kutosha.
Na ukifuatilia kwa kina sana utagundua walimu hawa walikuwa ni vipanga sana kwa sababu ukizingatia wakati ule ufaulu ulikuwa ni WA wanafunzi 0-5 kwa darasa moja lenye wanafunzi 50-300..
2. Uanzishwaji wa shule mpya za kata. Miaka ya hivi karibuni kumeibuka ongezeko kubwa sana la shule mpya karibia kila halmshauri ina shule mpya 2-5. Hivyo serikali iwaajiri walimu hawa wengi ili waweze kuzifungua shule hizi.
3. Maarifa yanapungua kwa sababu wamekaaa ntaani muda mrefu sana hivyo itachukua muda mrefu sana kwa walimu hawa kuregain momentum..