Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 238
- 526
- Thread starter
- #21
Presidents office,regional administration and local govt
Mtihani wa kupima uelewa
Part one:Chagua jibu sahihi
Ulipoamua kuondoa walimu 11 na kuwapeleka shule za msingi huku shule yako ikiwa imebaki na walimu wachache,ulifanya hayo ukiwa
A:Umelewa
B:Utatafuta wengine Kwa gharama zako
C:Ulikuwa umerogwa
D:Hukujali maana watoto wako hawasomi shule husika
Na kama jibu ni A,je unatumia kilevi gani?
A:Wanzuki
B:chang'aa
C:mnazil
D:Majibu A,B,C yote ni sahihi
Je baada ya kuondoa walimu shule ikapwaya,lawama zielekezwe Kwa nani?
A:Wewe
B:walimu
C:Wanafunzi
D:Wazazi
Una mkakati gani kuziba pengo la uhaba wa walimu uliolisababisha wewe na kusababisha serikali kulaumiwa pasipo SABABU za msingi?
A:Bado unafikiria
B:Bora liende maana unakaribia kustaafu,msala utamwachia atakayekuja
C:Unasubiri watakaoajiriwa na serikali waletwe tena na serikali
D:Utakuwa unaazima shule jirani
PART TWO:JIBU MASWALI YOTE KAMA ULIVYOULIZWA
5.Eleza dhana nzima ya neno makundi shuleni
6.Kwa Nini baadhi ya wakuu wa shule wanaendekeza makundi shuleni
7.Kwa Nini una tabia ya kuwajengea chuki wakosoaji wako?
8.Je uwajibishwe au usiwajibishwe na Kwa Nini toa SABABU 10
9.Eleza faida tano unazopata shuleni kwa kuondoa walimu wako na kuhamishia shule za msingi
10.Kwa Nini kwenye kikao cha jumatano walimu waligoma kuchangia hoja mpaka ukaweka amri ya Kila mtu achangie kuanzia mtu wa kwanza mpaka wa mwisho?
11.Kwa Nini unapenda kumkejeli Mwenyezi Mungu?
12.Wakati unawaeleza walimu kikaoni utaanza kufuatilia utaratibu na wasianze kukulaumu ulimaanisha tangu uwe mkuu wa shule ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini unahisi watakulaumu?
Tunataka Nyiendo mpya ambayo Kila mtu
Atakuwa na haki sawa
mtu awajibike
💪Solidarity
Sasa hivi tunaanza kupiga kwenye mshono!Halafu na wewe madame uliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi wako wa kiume file lako lipo jikoni linamaliziwa,halafu na wewe uliyeigiza kuongea Jana Kwa uchungu Kwa busara za kinafiki tunaandaa file la mkeo na jamaa yake wa chuoni,jiandae kubeba gunia la msumari kichwani!
Tunaanza kupiga kwenye mshono sasa!
Mezani vijana Wana mafaili 12 ya moto ambayo tutaanza kuyadondosha baada ya masaa au siku kadhaa!
Stay tuned
Mjukuu wa kigogo
Mtihani wa kupima uelewa
Part one:Chagua jibu sahihi
Ulipoamua kuondoa walimu 11 na kuwapeleka shule za msingi huku shule yako ikiwa imebaki na walimu wachache,ulifanya hayo ukiwa
A:Umelewa
B:Utatafuta wengine Kwa gharama zako
C:Ulikuwa umerogwa
D:Hukujali maana watoto wako hawasomi shule husika
Na kama jibu ni A,je unatumia kilevi gani?
A:Wanzuki
B:chang'aa
C:mnazil
D:Majibu A,B,C yote ni sahihi
Je baada ya kuondoa walimu shule ikapwaya,lawama zielekezwe Kwa nani?
A:Wewe
B:walimu
C:Wanafunzi
D:Wazazi
Una mkakati gani kuziba pengo la uhaba wa walimu uliolisababisha wewe na kusababisha serikali kulaumiwa pasipo SABABU za msingi?
A:Bado unafikiria
B:Bora liende maana unakaribia kustaafu,msala utamwachia atakayekuja
C:Unasubiri watakaoajiriwa na serikali waletwe tena na serikali
D:Utakuwa unaazima shule jirani
PART TWO:JIBU MASWALI YOTE KAMA ULIVYOULIZWA
5.Eleza dhana nzima ya neno makundi shuleni
6.Kwa Nini baadhi ya wakuu wa shule wanaendekeza makundi shuleni
7.Kwa Nini una tabia ya kuwajengea chuki wakosoaji wako?
8.Je uwajibishwe au usiwajibishwe na Kwa Nini toa SABABU 10
9.Eleza faida tano unazopata shuleni kwa kuondoa walimu wako na kuhamishia shule za msingi
10.Kwa Nini kwenye kikao cha jumatano walimu waligoma kuchangia hoja mpaka ukaweka amri ya Kila mtu achangie kuanzia mtu wa kwanza mpaka wa mwisho?
11.Kwa Nini unapenda kumkejeli Mwenyezi Mungu?
12.Wakati unawaeleza walimu kikaoni utaanza kufuatilia utaratibu na wasianze kukulaumu ulimaanisha tangu uwe mkuu wa shule ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini unahisi watakulaumu?
Tunataka Nyiendo mpya ambayo Kila mtu
Atakuwa na haki sawa
mtu awajibike
💪Solidarity
Sasa hivi tunaanza kupiga kwenye mshono!Halafu na wewe madame uliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi wako wa kiume file lako lipo jikoni linamaliziwa,halafu na wewe uliyeigiza kuongea Jana Kwa uchungu Kwa busara za kinafiki tunaandaa file la mkeo na jamaa yake wa chuoni,jiandae kubeba gunia la msumari kichwani!
Tunaanza kupiga kwenye mshono sasa!
Mezani vijana Wana mafaili 12 ya moto ambayo tutaanza kuyadondosha baada ya masaa au siku kadhaa!
Stay tuned
Mjukuu wa kigogo