Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyiendo wilayani Bunda jitafakari kama kiti kinakutosha

Presidents office,regional administration and local govt
Mtihani wa kupima uelewa

Part one:Chagua jibu sahihi
Ulipoamua kuondoa walimu 11 na kuwapeleka shule za msingi huku shule yako ikiwa imebaki na walimu wachache,ulifanya hayo ukiwa


A:Umelewa

B:Utatafuta wengine Kwa gharama zako

C:Ulikuwa umerogwa


D:Hukujali maana watoto wako hawasomi shule husika

Na kama jibu ni A,je unatumia kilevi gani?
A:Wanzuki
B:chang'aa
C:mnazil
D:Majibu A,B,C yote ni sahihi

Je baada ya kuondoa walimu shule ikapwaya,lawama zielekezwe Kwa nani?
A:Wewe
B:walimu
C:Wanafunzi
D:Wazazi

Una mkakati gani kuziba pengo la uhaba wa walimu uliolisababisha wewe na kusababisha serikali kulaumiwa pasipo SABABU za msingi?
A:Bado unafikiria
B:Bora liende maana unakaribia kustaafu,msala utamwachia atakayekuja
C:Unasubiri watakaoajiriwa na serikali waletwe tena na serikali
D:Utakuwa unaazima shule jirani





PART TWO:JIBU MASWALI YOTE KAMA ULIVYOULIZWA

5.Eleza dhana nzima ya neno makundi shuleni

6.Kwa Nini baadhi ya wakuu wa shule wanaendekeza makundi shuleni
7.Kwa Nini una tabia ya kuwajengea chuki wakosoaji wako?
8.Je uwajibishwe au usiwajibishwe na Kwa Nini toa SABABU 10
9.Eleza faida tano unazopata shuleni kwa kuondoa walimu wako na kuhamishia shule za msingi
10.Kwa Nini kwenye kikao cha jumatano walimu waligoma kuchangia hoja mpaka ukaweka amri ya Kila mtu achangie kuanzia mtu wa kwanza mpaka wa mwisho?
11.Kwa Nini unapenda kumkejeli Mwenyezi Mungu?
12.Wakati unawaeleza walimu kikaoni utaanza kufuatilia utaratibu na wasianze kukulaumu ulimaanisha tangu uwe mkuu wa shule ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini ulikuwa hufuatilii?Kwa Nini unahisi watakulaumu?
Tunataka Nyiendo mpya ambayo Kila mtu

Atakuwa na haki sawa
mtu awajibike
💪Solidarity

Sasa hivi tunaanza kupiga kwenye mshono!Halafu na wewe madame uliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi wako wa kiume file lako lipo jikoni linamaliziwa,halafu na wewe uliyeigiza kuongea Jana Kwa uchungu Kwa busara za kinafiki tunaandaa file la mkeo na jamaa yake wa chuoni,jiandae kubeba gunia la msumari kichwani!

Tunaanza kupiga kwenye mshono sasa!

Mezani vijana Wana mafaili 12 ya moto ambayo tutaanza kuyadondosha baada ya masaa au siku kadhaa!


Stay tuned
Mjukuu wa kigogo
 
Waweza kuwa na hoja haswa haswa ya kuhamisha waalimu 11 kwenda msingi ila ukiingiza habari za waalimu na mahusiano yao ya chuoni unafeli
 
Mtoa mada anakabiliwa na tatizo kama la Deo Kisandu (sijuwi amepotea wapi sikuhizi).
Na kama ni mwl basi hapo unapofundisha hufanyi kazi,hayo ni majungu tena ya kitoto.
Fuata utaratibu wa kiutumishi katika kutoa malalamiko yako au hoja zako kuliko unachoandika na kuwasagia kunguni wenzako.
 
Ilisikika sauti ya mwl. Mmojawapo aliyeshiriki kikao kikamilifu na kuchangia hoja kwa kulazimishwa na mkuu wa shule
 
God is Good ndio salamu yako maarufu unayoitumia wakati wa kufungua vikao vya shule utafikiri ulizaliwa altareni!Dalili zako za kufeli zilianza mapema sana na bado unaendelea tu kufeli japo uongozi wa juu pengine unakuonea huruma.

1. Baada ya taarifa za awali kuonyesha mwalimu wa kiume anayefundisha somo la kiswahili kutolewa mtandaoni kwamba huwa hafundishi ulimuita haraka na kumweleza asaini daftari la mahudhurio kwa siku zote ambazo hakuwepo(compensations)ili hata wakifika wakaguzi apate kunusurika.Na Kwa uhakika lengo lenu lilifanikiwa!Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kukaa nje ya kituo Kwa muda mrefu kwa visingizio vingi.Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kila akifika huwa ana kawaida ya kukupoza.Baadhi ni kama kununua mbuzi na soda ili walimu wakae pamoja.Pia ni mzuri sana wa kujenga hoja vikaoni. Kwa wanaomjua huyu mtu ni kama panya kuuma na kupuliza!Fanyeni utafiti kuthibitisha hili.

2. Unakumbuka mwalimu huyu huyu alichangia sana kuondoka kwa mwalimu ibrahimu mwakio aliyekuwa anajitolea shuleni.Ilibainika mwl husika alikuwa kamtengenezea Mwakio mtego wa kutembea na Mwanafunzi ili ashikwe fumanizi.Bahati nzuri mwalimu alistukia huo mtego baada ya kuelezwa each&everything na mwanafunzi husika. Ofisi yako ilishughulika na hili japo walimu husika waliishi kwa uadui kwa muda mrefu.

3. Mkuu wa shule jumatano mlikaa kikao lakini mmoja wapo wa wanamtandao wako ambaye ndie katibu wa kikao bila aibu alitamka hadharani "Mimi siyo tu chawa wa Mkuu mimi ni chawa pro max".Aliongea hayo huku unamtazama tu!Kilichoshangaza ni pale alipokuomba uanze kuwalipa pesa za zawadi walimu wenye madai!Sasa hatujui yeye ni nani mpaka akuelekeze!

4. Wakati unaanzisha wazo la hostel ulishirikisha walimu kwenye kikao ila kwenye usimamizi ulisimamia kila kitu,hatimaye mpango wa hostel ukawa umejifia kifo cha mende rasmi.Na Kuna mwalimu mmoja (Kwa sasa ni mkuu wa shule)ambaye alikuwa na utaratibu wa kufundisha JUMAMOSI aliwahi kulalamika anasumbuliwa sana na wanafunzi wa hostel kumuomba mia tano mia tano za sukari toka Kwa hao wanafunzi wa hostel mpaka ikawa kero akaona isiwe shida akaacha kufundisha weekend.Kwani uongo?Sasa kama bajeti ilipigwa ilikuwaje watoto waishi maisha magumu mpaka kuwa omba omba na wengine kurudi makwao?

5. Mwl mmoja kutoka idara ya taaluma ni mchapakazi sana ila ukiingia nae mgogoro au kumkosoa tu, shule itakuwa chungu sana kwako.Nitatoa Mfano.Miaka kadhaa iliyopita alikuwa na tuhuma ya kutembea na mwalimu mmoja waliyekuwa ofisi moja.(Mwalimu kashahamia butiama)Mme wa huyu madame aliwahi kufika shuleni akiwa na sime,ni Mungu tu alisaidia yasitokee ya kutokea.Sasa huyo mme wa mtu alisoma na walimu wawili wanaofundisha Nyiendo,hali hii ilipelekea mtaaluma kuwachukia sana zaidi ya sana kwamba ndio wanaopeleka taarifa hizo.(Walikuwa hawasalimiani)Suala hili liligharimu vikao viwili au zaidi.Kuisha kwa suala hili ni pale tu mwenye mke alipomuuliza mkewe unabaki bunda au unaenda butiama?No Butiama,no Ndoa!Mke akasalimu amri. Leo kulikuwa na kikao cha kupiga kura kubaini mhusika lakini tangu awali ilishajulikana atatajwa nani kuhusika na kuleta taarifa JF (Mtajwa ni wale open minded vikaoni) wa .Hii wiki nzima idara ya taaluma wameunganisha nguvu na wapambe wa mama ili kumkomesha!Ilikuwa ni mkakati maalum ambao uliratibiwa vizuri!

6. Huyo mliyempigia kura inaeleweka wazi ataishi maisha magumu sana ikiwemo kupelekwa bush kama alivyodai mtaaluma kikaoni Majuzi,kwamba atapelekwa chingulubila.Kiufupi atapitia kwenye tanuru la moto!Hii pia iwe funzo Kwa mnaokosoa viongozi badala kukubali tu au kukaa kimya kikaoni na kusubiri kupiga makofi!

7. Kikao cha Majuzi pia ulitumia muda mwingi kumkejeli mtangulizi wako Mr.Erasto Arende kama vile hakuitengeneza shule,Arende kwa Nyiendo ni kama Nyerere na Uhuru wa Tanganyika!Hata cheti cha pongezi,Certicate of recognition shule ilikipata chini ya utawala wake!Please mpe heshima yake!

8. Mwalimu wako mmoja alipata tatizo la kuhukumiwa jela.Familia yake ikayumba na kuamua kwenda kuishi ukweni.Mtoto wake wa kike ambaye alikuwa "A-material" aliwalilia sana viongozi wa shule mmsaidie ili abaki asome Nyiendo ahitimu vizuri mkamkataa!Unaishi pale pale shuleni ulishindwa hata kuishi nae?Kama mkuu wa kituo ukaruhusu kupoteza division one nzuri ya binti kizembe kabisa!Kweli God is Good!Huyu Binti akiyumba si atawalilia pia nyie?

Hakuna anayehitaji nafasi yako ila nakushauri yafuatayo kabla jahazi halijazama.....!

1. Kuna mwalimu smart sana hapo shuleni anaitwa Bazalaki Biseko(japo pia hapo awali wewe na ofisi ya taaluma mlikwaruzana nae sana japo mlikaa mkayamaliza).Mfanye huyu mama awe mshauri wako mkuu.Huyu mama ni dhahabu japo hamjastuka!Hana makando kando.Huyu ni Mcha Mungu,acha kuzungukwa na wavaa pensi mtaani!Unamuacha mtu wa maadili unaruhusu kuzungukwa na waenda club watakushauri nini zaidi ya kukufarakanisha na walimu wako?Huyu atakusaidia sana!

2. Mara Moja Moja kwenye posho Yako ya mwezi unatoa hata 100,000 kuwasapoti part time teachers!Wanahangaika sana na kudhalilika!Wanaishi tu Kwa kudra za Mungu hawana wa kuwapambania!Pia punguza kuwa unasifu sifu kundi lako kwenye vikao ili kuwananga wengine!

It's me mjukuu wa kigogo....
Stay tuned for next episode next time
Punguza majungu na kufitinisha watu wewe! Wewe itakua ni mjita
 
Sasa wewe kwa uoga huu ulionao Walimu tutatoboa kweli?.. Aisee najuta kua mwalimu,, Kaz hii imejaa vilaza waoga Kama Mwamba huyu!.. Sasa hayo unayosema hapa si ungemchana huyo mkuu kwenye kikao??
 
God is Good ndio salamu yako maarufu unayoitumia wakati wa kufungua vikao vya shule utafikiri ulizaliwa altareni!Dalili zako za kufeli zilianza mapema sana na bado unaendelea tu kufeli japo uongozi wa juu pengine unakuonea huruma.

1. Baada ya taarifa za awali kuonyesha mwalimu wa kiume anayefundisha somo la kiswahili kutolewa mtandaoni kwamba huwa hafundishi ulimuita haraka na kumweleza asaini daftari la mahudhurio kwa siku zote ambazo hakuwepo(compensations)ili hata wakifika wakaguzi apate kunusurika.Na Kwa uhakika lengo lenu lilifanikiwa!Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kukaa nje ya kituo Kwa muda mrefu kwa visingizio vingi.Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kila akifika huwa ana kawaida ya kukupoza.Baadhi ni kama kununua mbuzi na soda ili walimu wakae pamoja.Pia ni mzuri sana wa kujenga hoja vikaoni. Kwa wanaomjua huyu mtu ni kama panya kuuma na kupuliza!Fanyeni utafiti kuthibitisha hili.

2. Unakumbuka mwalimu huyu huyu alichangia sana kuondoka kwa mwalimu ibrahimu mwakio aliyekuwa anajitolea shuleni.Ilibainika mwl husika alikuwa kamtengenezea Mwakio mtego wa kutembea na Mwanafunzi ili ashikwe fumanizi.Bahati nzuri mwalimu alistukia huo mtego baada ya kuelezwa each&everything na mwanafunzi husika. Ofisi yako ilishughulika na hili japo walimu husika waliishi kwa uadui kwa muda mrefu.

3. Mkuu wa shule jumatano mlikaa kikao lakini mmoja wapo wa wanamtandao wako ambaye ndie katibu wa kikao bila aibu alitamka hadharani "Mimi siyo tu chawa wa Mkuu mimi ni chawa pro max".Aliongea hayo huku unamtazama tu!Kilichoshangaza ni pale alipokuomba uanze kuwalipa pesa za zawadi walimu wenye madai!Sasa hatujui yeye ni nani mpaka akuelekeze!

4. Wakati unaanzisha wazo la hostel ulishirikisha walimu kwenye kikao ila kwenye usimamizi ulisimamia kila kitu,hatimaye mpango wa hostel ukawa umejifia kifo cha mende rasmi.Na Kuna mwalimu mmoja (Kwa sasa ni mkuu wa shule)ambaye alikuwa na utaratibu wa kufundisha JUMAMOSI aliwahi kulalamika anasumbuliwa sana na wanafunzi wa hostel kumuomba mia tano mia tano za sukari toka Kwa hao wanafunzi wa hostel mpaka ikawa kero akaona isiwe shida akaacha kufundisha weekend.Kwani uongo?Sasa kama bajeti ilipigwa ilikuwaje watoto waishi maisha magumu mpaka kuwa omba omba na wengine kurudi makwao?

5. Mwl mmoja kutoka idara ya taaluma ni mchapakazi sana ila ukiingia nae mgogoro au kumkosoa tu, shule itakuwa chungu sana kwako.Nitatoa Mfano.Miaka kadhaa iliyopita alikuwa na tuhuma ya kutembea na mwalimu mmoja waliyekuwa ofisi moja.(Mwalimu kashahamia butiama)Mme wa huyu madame aliwahi kufika shuleni akiwa na sime,ni Mungu tu alisaidia yasitokee ya kutokea.Sasa huyo mme wa mtu alisoma na walimu wawili wanaofundisha Nyiendo,hali hii ilipelekea mtaaluma kuwachukia sana zaidi ya sana kwamba ndio wanaopeleka taarifa hizo.(Walikuwa hawasalimiani)Suala hili liligharimu vikao viwili au zaidi.Kuisha kwa suala hili ni pale tu mwenye mke alipomuuliza mkewe unabaki bunda au unaenda butiama?No Butiama,no Ndoa!Mke akasalimu amri. Leo kulikuwa na kikao cha kupiga kura kubaini mhusika lakini tangu awali ilishajulikana atatajwa nani kuhusika na kuleta taarifa JF (Mtajwa ni wale open minded vikaoni) wa .Hii wiki nzima idara ya taaluma wameunganisha nguvu na wapambe wa mama ili kumkomesha!Ilikuwa ni mkakati maalum ambao uliratibiwa vizuri!

6. Huyo mliyempigia kura inaeleweka wazi ataishi maisha magumu sana ikiwemo kupelekwa bush kama alivyodai mtaaluma kikaoni Majuzi,kwamba atapelekwa chingulubila.Kiufupi atapitia kwenye tanuru la moto!Hii pia iwe funzo Kwa mnaokosoa viongozi badala kukubali tu au kukaa kimya kikaoni na kusubiri kupiga makofi!

7. Kikao cha Majuzi pia ulitumia muda mwingi kumkejeli mtangulizi wako Mr.Erasto Arende kama vile hakuitengeneza shule,Arende kwa Nyiendo ni kama Nyerere na Uhuru wa Tanganyika!Hata cheti cha pongezi,Certicate of recognition shule ilikipata chini ya utawala wake!Please mpe heshima yake!

8. Mwalimu wako mmoja alipata tatizo la kuhukumiwa jela.Familia yake ikayumba na kuamua kwenda kuishi ukweni.Mtoto wake wa kike ambaye alikuwa "A-material" aliwalilia sana viongozi wa shule mmsaidie ili abaki asome Nyiendo ahitimu vizuri mkamkataa!Unaishi pale pale shuleni ulishindwa hata kuishi nae?Kama mkuu wa kituo ukaruhusu kupoteza division one nzuri ya binti kizembe kabisa!Kweli God is Good!Huyu Binti akiyumba si atawalilia pia nyie?

Hakuna anayehitaji nafasi yako ila nakushauri yafuatayo kabla jahazi halijazama.....!

1. Kuna mwalimu smart sana hapo shuleni anaitwa Bazalaki Biseko(japo pia hapo awali wewe na ofisi ya taaluma mlikwaruzana nae sana japo mlikaa mkayamaliza).Mfanye huyu mama awe mshauri wako mkuu.Huyu mama ni dhahabu japo hamjastuka!Hana makando kando.Huyu ni Mcha Mungu,acha kuzungukwa na wavaa pensi mtaani!Unamuacha mtu wa maadili unaruhusu kuzungukwa na waenda club watakushauri nini zaidi ya kukufarakanisha na walimu wako?Huyu atakusaidia sana!

2. Mara Moja Moja kwenye posho Yako ya mwezi unatoa hata 100,000 kuwasapoti part time teachers!Wanahangaika sana na kudhalilika!Wanaishi tu Kwa kudra za Mungu hawana wa kuwapambania!Pia punguza kuwa unasifu sifu kundi lako kwenye vikao ili kuwananga wengine!

It's me mjukuu wa kigogo....
Stay tuned for next episode next time
Mkuu umekula?
 
God is Good ndio salamu yako maarufu unayoitumia wakati wa kufungua vikao vya shule utafikiri ulizaliwa altareni!Dalili zako za kufeli zilianza mapema sana na bado unaendelea tu kufeli japo uongozi wa juu pengine unakuonea huruma.

1. Baada ya taarifa za awali kuonyesha mwalimu wa kiume anayefundisha somo la kiswahili kutolewa mtandaoni kwamba huwa hafundishi ulimuita haraka na kumweleza asaini daftari la mahudhurio kwa siku zote ambazo hakuwepo(compensations)ili hata wakifika wakaguzi apate kunusurika.Na Kwa uhakika lengo lenu lilifanikiwa!Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kukaa nje ya kituo Kwa muda mrefu kwa visingizio vingi.Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kila akifika huwa ana kawaida ya kukupoza.Baadhi ni kama kununua mbuzi na soda ili walimu wakae pamoja.Pia ni mzuri sana wa kujenga hoja vikaoni. Kwa wanaomjua huyu mtu ni kama panya kuuma na kupuliza!Fanyeni utafiti kuthibitisha hili.

2. Unakumbuka mwalimu huyu huyu alichangia sana kuondoka kwa mwalimu ibrahimu mwakio aliyekuwa anajitolea shuleni.Ilibainika mwl husika alikuwa kamtengenezea Mwakio mtego wa kutembea na Mwanafunzi ili ashikwe fumanizi.Bahati nzuri mwalimu alistukia huo mtego baada ya kuelezwa each&everything na mwanafunzi husika. Ofisi yako ilishughulika na hili japo walimu husika waliishi kwa uadui kwa muda mrefu.

3. Mkuu wa shule jumatano mlikaa kikao lakini mmoja wapo wa wanamtandao wako ambaye ndie katibu wa kikao bila aibu alitamka hadharani "Mimi siyo tu chawa wa Mkuu mimi ni chawa pro max".Aliongea hayo huku unamtazama tu!Kilichoshangaza ni pale alipokuomba uanze kuwalipa pesa za zawadi walimu wenye madai!Sasa hatujui yeye ni nani mpaka akuelekeze!

4. Wakati unaanzisha wazo la hostel ulishirikisha walimu kwenye kikao ila kwenye usimamizi ulisimamia kila kitu,hatimaye mpango wa hostel ukawa umejifia kifo cha mende rasmi.Na Kuna mwalimu mmoja (Kwa sasa ni mkuu wa shule)ambaye alikuwa na utaratibu wa kufundisha JUMAMOSI aliwahi kulalamika anasumbuliwa sana na wanafunzi wa hostel kumuomba mia tano mia tano za sukari toka Kwa hao wanafunzi wa hostel mpaka ikawa kero akaona isiwe shida akaacha kufundisha weekend.Kwani uongo?Sasa kama bajeti ilipigwa ilikuwaje watoto waishi maisha magumu mpaka kuwa omba omba na wengine kurudi makwao?

5. Mwl mmoja kutoka idara ya taaluma ni mchapakazi sana ila ukiingia nae mgogoro au kumkosoa tu, shule itakuwa chungu sana kwako.Nitatoa Mfano.Miaka kadhaa iliyopita alikuwa na tuhuma ya kutembea na mwalimu mmoja waliyekuwa ofisi moja.(Mwalimu kashahamia butiama)Mme wa huyu madame aliwahi kufika shuleni akiwa na sime,ni Mungu tu alisaidia yasitokee ya kutokea.Sasa huyo mme wa mtu alisoma na walimu wawili wanaofundisha Nyiendo,hali hii ilipelekea mtaaluma kuwachukia sana zaidi ya sana kwamba ndio wanaopeleka taarifa hizo.(Walikuwa hawasalimiani)Suala hili liligharimu vikao viwili au zaidi.Kuisha kwa suala hili ni pale tu mwenye mke alipomuuliza mkewe unabaki bunda au unaenda butiama?No Butiama,no Ndoa!Mke akasalimu amri. Leo kulikuwa na kikao cha kupiga kura kubaini mhusika lakini tangu awali ilishajulikana atatajwa nani kuhusika na kuleta taarifa JF (Mtajwa ni wale open minded vikaoni) wa .Hii wiki nzima idara ya taaluma wameunganisha nguvu na wapambe wa mama ili kumkomesha!Ilikuwa ni mkakati maalum ambao uliratibiwa vizuri!

6. Huyo mliyempigia kura inaeleweka wazi ataishi maisha magumu sana ikiwemo kupelekwa bush kama alivyodai mtaaluma kikaoni Majuzi,kwamba atapelekwa chingulubila.Kiufupi atapitia kwenye tanuru la moto!Hii pia iwe funzo Kwa mnaokosoa viongozi badala kukubali tu au kukaa kimya kikaoni na kusubiri kupiga makofi!

7. Kikao cha Majuzi pia ulitumia muda mwingi kumkejeli mtangulizi wako Mr.Erasto Arende kama vile hakuitengeneza shule,Arende kwa Nyiendo ni kama Nyerere na Uhuru wa Tanganyika!Hata cheti cha pongezi,Certicate of recognition shule ilikipata chini ya utawala wake!Please mpe heshima yake!

8. Mwalimu wako mmoja alipata tatizo la kuhukumiwa jela.Familia yake ikayumba na kuamua kwenda kuishi ukweni.Mtoto wake wa kike ambaye alikuwa "A-material" aliwalilia sana viongozi wa shule mmsaidie ili abaki asome Nyiendo ahitimu vizuri mkamkataa!Unaishi pale pale shuleni ulishindwa hata kuishi nae?Kama mkuu wa kituo ukaruhusu kupoteza division one nzuri ya binti kizembe kabisa!Kweli God is Good!Huyu Binti akiyumba si atawalilia pia nyie?

Hakuna anayehitaji nafasi yako ila nakushauri yafuatayo kabla jahazi halijazama.....!

1. Kuna mwalimu smart sana hapo shuleni anaitwa Bazalaki Biseko(japo pia hapo awali wewe na ofisi ya taaluma mlikwaruzana nae sana japo mlikaa mkayamaliza).Mfanye huyu mama awe mshauri wako mkuu.Huyu mama ni dhahabu japo hamjastuka!Hana makando kando.Huyu ni Mcha Mungu,acha kuzungukwa na wavaa pensi mtaani!Unamuacha mtu wa maadili unaruhusu kuzungukwa na waenda club watakushauri nini zaidi ya kukufarakanisha na walimu wako?Huyu atakusaidia sana!

2. Mara Moja Moja kwenye posho Yako ya mwezi unatoa hata 100,000 kuwasapoti part time teachers!Wanahangaika sana na kudhalilika!Wanaishi tu Kwa kudra za Mungu hawana wa kuwapambania!Pia punguza kuwa unasifu sifu kundi lako kwenye vikao ili kuwananga wengine!

It's me mjukuu wa kigogo....
Stay tuned for next episode next time
watumishi wa halmashauri kwa majungu na umbea hamjambo sasa hapa jamii forum ndiyo mamlaka yake ya nidham?
 
Sijasoma mpaka mwisho ila We jamaaa kwa uchawi na majungu na fitina shetan anakaa pembeni.

Mwalimu wa aina hii hata kuloga analoga.
 
Kama huyo mwl ni motor na anapg madili yake aachwe Tuu

Huko juu sikuhz hawalambi tena asali Bali wanakula kbsa bila ata kuogopa ,

Kumbuka juu kukioza chin kunanuka


Wew mwl ulieleta taarfa pamban kutafuta ela acha majungu maisha na kaz NI wew mwenyew au UNATAKA CHEO NA WEW NENDA KALOGE
 
Walimu wana matatizo ila ukweli mchungu nikwamba staff za shule za secondary zina majungu na ujuaji kuliko zile za msingi
 
Pale ambapo mwalimu unajifanya mwanaharakati, upo bize kusumbia uongozi unajifanya mchambuzi mpaka umechukua logo ya kigogo eti unajifanya kigogo wa bunda. Kuajiriwa ni utumwa mwalimu unahitaji uwe mnyenyekevu uweze kutoboa. Ukileta uanaharakati wako wa kichuo chuo kutwa unayajengea hoja na kuyajadili maelekezo ya viongozi wako kisa eti una ka digrii hautoboi kwenye utumiahi wa uma
 
Ndugu Mwalimu, mleta mada, embu haya mambo kayafikishe kwa afisa elimu secondary wako.
Huku itaonekana ni majungu na unafiki wako.
 
God is Good ndio salamu yako maarufu unayoitumia wakati wa kufungua vikao vya shule utafikiri ulizaliwa altareni!Dalili zako za kufeli zilianza mapema sana na bado unaendelea tu kufeli japo uongozi wa juu pengine unakuonea huruma.

1. Baada ya taarifa za awali kuonyesha mwalimu wa kiume anayefundisha somo la kiswahili kutolewa mtandaoni kwamba huwa hafundishi ulimuita haraka na kumweleza asaini daftari la mahudhurio kwa siku zote ambazo hakuwepo(compensations)ili hata wakifika wakaguzi apate kunusurika.Na Kwa uhakika lengo lenu lilifanikiwa!Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kukaa nje ya kituo Kwa muda mrefu kwa visingizio vingi.Mwalimu huyu amekuwa na kawaida ya kila akifika huwa ana kawaida ya kukupoza.Baadhi ni kama kununua mbuzi na soda ili walimu wakae pamoja.Pia ni mzuri sana wa kujenga hoja vikaoni. Kwa wanaomjua huyu mtu ni kama panya kuuma na kupuliza!Fanyeni utafiti kuthibitisha hili.

2. Unakumbuka mwalimu huyu huyu alichangia sana kuondoka kwa mwalimu ibrahimu mwakio aliyekuwa anajitolea shuleni.Ilibainika mwl husika alikuwa kamtengenezea Mwakio mtego wa kutembea na Mwanafunzi ili ashikwe fumanizi.Bahati nzuri mwalimu alistukia huo mtego baada ya kuelezwa each&everything na mwanafunzi husika. Ofisi yako ilishughulika na hili japo walimu husika waliishi kwa uadui kwa muda mrefu.

3. Mkuu wa shule jumatano mlikaa kikao lakini mmoja wapo wa wanamtandao wako ambaye ndie katibu wa kikao bila aibu alitamka hadharani "Mimi siyo tu chawa wa Mkuu mimi ni chawa pro max".Aliongea hayo huku unamtazama tu!Kilichoshangaza ni pale alipokuomba uanze kuwalipa pesa za zawadi walimu wenye madai!Sasa hatujui yeye ni nani mpaka akuelekeze!

4. Wakati unaanzisha wazo la hostel ulishirikisha walimu kwenye kikao ila kwenye usimamizi ulisimamia kila kitu,hatimaye mpango wa hostel ukawa umejifia kifo cha mende rasmi.Na Kuna mwalimu mmoja (Kwa sasa ni mkuu wa shule)ambaye alikuwa na utaratibu wa kufundisha JUMAMOSI aliwahi kulalamika anasumbuliwa sana na wanafunzi wa hostel kumuomba mia tano mia tano za sukari toka Kwa hao wanafunzi wa hostel mpaka ikawa kero akaona isiwe shida akaacha kufundisha weekend.Kwani uongo?Sasa kama bajeti ilipigwa ilikuwaje watoto waishi maisha magumu mpaka kuwa omba omba na wengine kurudi makwao?

5. Mwl mmoja kutoka idara ya taaluma ni mchapakazi sana ila ukiingia nae mgogoro au kumkosoa tu, shule itakuwa chungu sana kwako.Nitatoa Mfano.Miaka kadhaa iliyopita alikuwa na tuhuma ya kutembea na mwalimu mmoja waliyekuwa ofisi moja.(Mwalimu kashahamia butiama)Mme wa huyu madame aliwahi kufika shuleni akiwa na sime,ni Mungu tu alisaidia yasitokee ya kutokea.Sasa huyo mme wa mtu alisoma na walimu wawili wanaofundisha Nyiendo,hali hii ilipelekea mtaaluma kuwachukia sana zaidi ya sana kwamba ndio wanaopeleka taarifa hizo.(Walikuwa hawasalimiani)Suala hili liligharimu vikao viwili au zaidi.Kuisha kwa suala hili ni pale tu mwenye mke alipomuuliza mkewe unabaki bunda au unaenda butiama?No Butiama,no Ndoa!Mke akasalimu amri. Leo kulikuwa na kikao cha kupiga kura kubaini mhusika lakini tangu awali ilishajulikana atatajwa nani kuhusika na kuleta taarifa JF (Mtajwa ni wale open minded vikaoni) wa .Hii wiki nzima idara ya taaluma wameunganisha nguvu na wapambe wa mama ili kumkomesha!Ilikuwa ni mkakati maalum ambao uliratibiwa vizuri!

6. Huyo mliyempigia kura inaeleweka wazi ataishi maisha magumu sana ikiwemo kupelekwa bush kama alivyodai mtaaluma kikaoni Majuzi,kwamba atapelekwa chingulubila.Kiufupi atapitia kwenye tanuru la moto!Hii pia iwe funzo Kwa mnaokosoa viongozi badala kukubali tu au kukaa kimya kikaoni na kusubiri kupiga makofi!

7. Kikao cha Majuzi pia ulitumia muda mwingi kumkejeli mtangulizi wako Mr.Erasto Arende kama vile hakuitengeneza shule,Arende kwa Nyiendo ni kama Nyerere na Uhuru wa Tanganyika!Hata cheti cha pongezi,Certicate of recognition shule ilikipata chini ya utawala wake!Please mpe heshima yake!

8. Mwalimu wako mmoja alipata tatizo la kuhukumiwa jela.Familia yake ikayumba na kuamua kwenda kuishi ukweni.Mtoto wake wa kike ambaye alikuwa "A-material" aliwalilia sana viongozi wa shule mmsaidie ili abaki asome Nyiendo ahitimu vizuri mkamkataa!Unaishi pale pale shuleni ulishindwa hata kuishi nae?Kama mkuu wa kituo ukaruhusu kupoteza division one nzuri ya binti kizembe kabisa!Kweli God is Good!Huyu Binti akiyumba si atawalilia pia nyie?

Hakuna anayehitaji nafasi yako ila nakushauri yafuatayo kabla jahazi halijazama.....!

1. Kuna mwalimu smart sana hapo shuleni anaitwa Bazalaki Biseko(japo pia hapo awali wewe na ofisi ya taaluma mlikwaruzana nae sana japo mlikaa mkayamaliza).Mfanye huyu mama awe mshauri wako mkuu.Huyu mama ni dhahabu japo hamjastuka!Hana makando kando.Huyu ni Mcha Mungu,acha kuzungukwa na wavaa pensi mtaani!Unamuacha mtu wa maadili unaruhusu kuzungukwa na waenda club watakushauri nini zaidi ya kukufarakanisha na walimu wako?Huyu atakusaidia sana!

2. Mara Moja Moja kwenye posho Yako ya mwezi unatoa hata 100,000 kuwasapoti part time teachers!Wanahangaika sana na kudhalilika!Wanaishi tu Kwa kudra za Mungu hawana wa kuwapambania!Pia punguza kuwa unasifu sifu kundi lako kwenye vikao ili kuwananga wengine!

It's me mjukuu wa kigogo....
Stay tuned for next episode next time
Summary pliz maana haya ni majungu. Kwani ngazi za kuripoti hazipo?
 
Back
Top Bottom