Ngoromiko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 554
- 175
Gagurito uwe na imani hayo ni ya hakika nialike nitasema. Hiyo ya kutoamini kali usije siku moja ukazika watu wakiwa hai kwa kusema hawaaminiki watakuwa wote wameaga dunia kama mkulima aliyezika wanasiasa wote waliopata ajali. I have a strong feeling kusema hayo refa ameshamaliza mechi. Baada ya mechi hupewi penati yanini kulalamika. Hivi tunavyoongea kijana ana cheti mkonon
Boss mbona sisi wengine tulipata mshiko kiduchu wakati tulitimiza majukumu yote uliyotutuma?
Au nikutumie akaunti yangu ya M-Pesa unijali kidogo kiongozi?