picha za mkutano wa leo (Tarehe 02.04.2012) ingawa kwenye picha zinaonyesha tarehe 01.4.2012.sie wa mbali tuleteeni picha.......all da best!
Ulikuwa unatumia ID gani?....is better ukaomba msamaha otherwise na hii itakuwa merged kwenye Ban.asante sana crashwise..katika harakati humu JF nilikula ban so nimekuja na ID hii ilimradi nije kusherehekea na magwanda wenzagu..viva CDM...
Mkuu mie nakupongeze kwanza kwa kuonesha kukubalianana matokeo halisi na huo ndio uungwanaMimi leo hata uniletee kombati na skafu ya CDM naivaa tu kuonesha fair play. Tumesema mengi na uchaguzi umefanyika ni uungwana kushindana majukwani lakini kuheshimu uamuzi wa watu walioufanya kwa kusimama kwenye jua kupiga kura.
Hakuna asie mhimu mkuu...Pamoja sana mkuu...nimeondoka kabla ya mkutano kuanza ili nije kuwapatia picha nilijua watu wengi wange penda kupata picha za matukio huko USA River (ARUMERU) hivyo nitakosa matukio ya jioni hivyo alioko uwanjani ajitahi kutupia picha za matukio ya picha....crush wewe ni mtu muhimu sana hapa jf.
Kwani usa pana kalika sasa achana na Nguvu ya umma...Kwanini umemkimbia dogo pale arumeru leo?
Ulikuwa unatumia ID gani?....is better ukaomba msamaha otherwise na hii itakuwa merged kwenye Ban.
Kwanza nikupe hongera sana Mwigulu kwa kupelekwa polisi jana bila kufinywa umekuwa na bahati sana baada ya kukamatwa ukigawa ngawila lakini tuna kusubili Arusha kwenye uchaguzi wa madiwani naamini utakuja....Hongera CHADEMA, HONGERA MHE JOSHUA NASARI MB ARUMERU MASHARIKI CHAGUO LA WAMERU. KWA NIABA YA TIMU YA KAMPENI YA CCM NAKUPONGEZA KWA RIDHA ULIOPEWA NA WANAARUMERU.
Mimi nilishakula ban Mpaka nimezoea.siku hizi thread hatarishi siingizi team mkuuasante sana crashwise..katika harakati humu JF nilikula ban so nimekuja na ID hii ilimradi nije kusherehekea na magwanda wenzagu..viva CDM...
asante sana crashwise..katika harakati humu JF nilikula ban so nimekuja na ID hii ilimradi nije kusherehekea na magwanda wenzagu..viva CDM...