aooo CCM wamekalia!!!
Ungeomba msamaha ingekuwa bora zaidi.Mods tafadhali akiomba/wakiomba msamaha wafungulieni hata kwa masharti.......
Mimi naamini yatakuwa mwaka 2014 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kunzia hapo CDM itaanza kuongoza nchi Mbowe,DR Slaa, ZItto, Mnyika na makamnda wengi jipangene malizeni choko choko zenu kiutu uzima tuchukue nchi mwaka 2014 kwani kwa sasa watanzania wako tayari kwa mabadiliko...Hakika ni siku njema na ya mafanikio sana kwa CDM. Nadhan safari ya mabadiliko ya kweli kuelekea 2015 imeanzia ARUMERU.
Sasa tunaomba CDM mkoa wa DSM, mtumie fursa hii kumleta Mh. Joshua N Dar es Salaam ili atambulishwe rasmi. Swala hili liende sambamba na utambulisho wa M4C pamoja na fund raising ktk jiji hili.
Hii itakuwa na manufaa makubwa sana kisiasa, ikiwapo kuamsha ari ya mabadiliko kuelekea kwenye uchaguzi mdogo ujao hapa DSM (Sege...)
watu wengi wamepotea sababu ya kula Ban...watu kama kina FF,Mwita25,MS na wengineo wangechangamsha sana mijadala wakati wa uchaguzi wa arumeru..lets celebrate the trophy once again.
Wewe acha katika kitu ambacho watanzania walio wengi walikuwa wana kisubili kwa hamu ni ushindi huu wa kamanda Nassari hakika leo ungefanikiwa kufika kwenye uwanja wa Leganga ungepata picha...nina video lakini sina software ya kuiweka kwenye fls ili niiweke kwenye youtube naamini chadema wataiweka kwenye TV yao.makamanda wametupa raha,yaani leo nimepata raha sana nafurahi kuwa CDM, nassari aje dar tumpe pongezi.Mungu amesikia kilio chetu.Nadhani magamba wamelala sie tuko macho!
Movement For Change
ni maamzi ya chama cha demokrasia na maendeleo kukikabidhi chama kwa wananchi.....
asante sana crashwise..katika harakati humu JF nilikula ban so nimekuja na ID hii ilimradi nije kusherehekea na magwanda wenzagu..viva CDM...
Washiri wa John Tendwa Kada namba moja wa CCM walikwenda kupiga kura wapi au daftari lilishawaandika wafu.