THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and our enemies,
Nichukue nafasi hii kumpongeza Sheikh Mwaipopo kwa uthubutu wake wa kusimama na kuwakemea CHADEMA na baadhi ya maaskofu kwa kile tunachoweza kukiita ni choko choko za kutaka kuliingiza Taifa hili kwenye taharuki na chuki za kidini ikiwa ni pamoja na kuigombanisha serikali hii na wananchi wake.
Kwa ufupi mkutano huo ambao uligeuka kuwa kama ni kongamano tuh la Injili na uwanja wa kutoa wanakondoo mapepo haukufanana ulipuuzwa na kila Mtanzania mwenye akili timamu.
Yes, nasema liligeuka kama ni kongamano la Injili kwani nilimshuhudia kwenye video Askofu mmoja akisherehesha mkutano huo kwa kutamka kwa ushujaa wa hali ya juu kuwa 'Bwana Yesu Asifiwe'. Hapo nikajitosheleza pasipo na shaka kuwa kumbe ajenda yao ni kutengeneza coalition of the willing baina yao wanasiasa wa CHADEMA na hao viongozi wa dini ili kupenyeza ajenda zao za hovyo kwa Taifa letu.
Hakika kongamano lile nalifananisha na timu ya mpira wa miguu iliyokuwa kwenye mechi za maandalizi ya msimu mpya, yaani pre season matches preparations. CHADEMA wamekipata kipimo halisi ni namna gani wao kama team ilivyo mbovu na jinsi ambavyo mashabiki wake walivyoichoka.
Hii iwe fundisho kwa vyama vingine kuwa ni mwiko kutumia ajenda za kisiasa kwa mwamvuli wa dini, kwani anguko lake linakuwa ni baya sana.
Once again, hongera sana Sheikh Mwaipopo, hakika uthubutu wako umeleta matokeo chanya.
Nichukue nafasi hii kumpongeza Sheikh Mwaipopo kwa uthubutu wake wa kusimama na kuwakemea CHADEMA na baadhi ya maaskofu kwa kile tunachoweza kukiita ni choko choko za kutaka kuliingiza Taifa hili kwenye taharuki na chuki za kidini ikiwa ni pamoja na kuigombanisha serikali hii na wananchi wake.
Kwa ufupi mkutano huo ambao uligeuka kuwa kama ni kongamano tuh la Injili na uwanja wa kutoa wanakondoo mapepo haukufanana ulipuuzwa na kila Mtanzania mwenye akili timamu.
Yes, nasema liligeuka kama ni kongamano la Injili kwani nilimshuhudia kwenye video Askofu mmoja akisherehesha mkutano huo kwa kutamka kwa ushujaa wa hali ya juu kuwa 'Bwana Yesu Asifiwe'. Hapo nikajitosheleza pasipo na shaka kuwa kumbe ajenda yao ni kutengeneza coalition of the willing baina yao wanasiasa wa CHADEMA na hao viongozi wa dini ili kupenyeza ajenda zao za hovyo kwa Taifa letu.
Hakika kongamano lile nalifananisha na timu ya mpira wa miguu iliyokuwa kwenye mechi za maandalizi ya msimu mpya, yaani pre season matches preparations. CHADEMA wamekipata kipimo halisi ni namna gani wao kama team ilivyo mbovu na jinsi ambavyo mashabiki wake walivyoichoka.
Hii iwe fundisho kwa vyama vingine kuwa ni mwiko kutumia ajenda za kisiasa kwa mwamvuli wa dini, kwani anguko lake linakuwa ni baya sana.
Once again, hongera sana Sheikh Mwaipopo, hakika uthubutu wako umeleta matokeo chanya.