Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 360
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Obeid Mbangwa, amefukuzwa kazi. Wengine ni Frank Mlemi na Simon Wella. Kosa lao ni la kujihusisha na ufisadi usafirishaji wanyamapori nje ya nchi. Kufukuzwa kwao kumetengazwa asubuhi hii na Waziri Kagasheki, Dodoma