babykailama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 251
- 243
Ukweli wengi wetu tunasubiri taarifa na hatua kamili nadhani hii ni mwanzo tu. Hatujajua mpaka sasa hata ni wapi walipo sasa wanyama (na watarejeshwaje?). Ni nani alitoa vibali (kama kulikuwa na vibali); halafu hapo ndo tutajua kuhusika kwa watu wa uwanja wa ndege na wengineo. Ukitaka kumuuwa nyani usimwangalie usoni! Waziri funguka tutakuunga mkono!!