Mkurugenzi wanyamapori afukuzwa kazi

Mwitongo

JF-Expert Member
Jan 30, 2009
312
360
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Obeid Mbangwa, amefukuzwa kazi. Wengine ni Frank Mlemi na Simon Wella. Kosa lao ni la kujihusisha na ufisadi usafirishaji wanyamapori nje ya nchi. Kufukuzwa kwao kumetengazwa asubuhi hii na Waziri Kagasheki, Dodoma
 

Attachments

  • Obeid Mbangwa.jpg
    Obeid Mbangwa.jpg
    208.5 KB · Views: 516
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Obeid Mbangwa, amefukuzwa kazi. Wengine ni Frank Mlemi na Simon Wella. Kosa lao ni la kujihusisha na ufisadi usafirishaji wanyamapori nje ya nchi. Kufukuzwa kwao kumetengazwa asubuhi hii na Waziri Kagasheki, Dodoma

Hongera Kagasheki, kazi nzuri.
 
AMEFUKUZWA! Hii ina maana hana chake tena. Taratibu za kuwafikisha mahakamani mafisadi hao zinaendelea
 
sasa tunasubiri aburuzwe mahakamani kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake

Hivi unafikiri huyo Obeid ana nguvu/mamlaka gani? Kuruhusu DEGE LA KIJESHI kuingia nchini na kuondoka bila vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi kujua?!! Kama ni ufisadi wa kutorosha wanyama nje ya nchi, I bet my neck Obeid ametolewa kama mbuzi wa kafara. Haiwezekani KAMWE ndege ya kijeshi kuingia katika anga letu bila CDF kujua au Commander in Chief of the armed forces kujua.
 
Mimi nataka anifundishe kupakia Twiga kwenye ndege


Jamani, juyo jamaa ana uwezo wa kuruhusu Ndege za kupakia twiga zitue KIA?
Huyo jamaa sio Mbuzi wa kafara kama bwana Mhando?
Nani ana uwezo wa kuruhusu ndege za nchi nyingine kutua nchini, na kuondoka na Twiga?
Bwana Kagasheki, unasema kweli???
 
Safi sana Balozi Kagasheki ingawa uamuzi umekuja umechelewa kusanya ushahidi uwapeleke mahakamani hamna kucheka na wezi wa rasilimali zetu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom