Mkurugenzi Mtendaji TANESCO asimamishwa kazi

Status
Not open for further replies.
Haaahaaa! Labda watu wako serious sasa hivi. Lets wait and see.

Na inawezekana kila anayepata nafasi anawatimua woote wasiokubalina nao mitazamo na misimamo, inawezekana pia alikuwa kilaza sana na inawezekana pia ni threat ya wanasiasa
 
Juzi alikuwa anazunguka mitaani kukatia watu kumbe ndo kifo cha nyani
 
Kulikuwa na mvutano kati ya bodi ya wakurugenzi inayoongozwa na mkuu wa majeshi wa zamani Bw. Mboma na mtendaji mkuu wa Tanesco na management yake.. Sasa cijui kama hii ni outcome au.. Member anaelijua kwa undani naomba atujuze..
 
Watanzania watu wa ajabu sana, watu wa kuridhika na matatizo.

Wamekosa habari kwa sababu radio na TV zilizima, umeme ulikata, na ndio kawaida.

Kesho yake wanaamka na taarifa kwamba, mkubwa wa kampuni inayoshughulikia umeme kawa fired, wanauliza "kafanya nini?
"

Mkuu kama wangetoa sababu ya kumtimua ni kutokana na umeme kukatika wala tucingehoji.. Ntaendelea kuwa mtu wa ajabu kama kiongozi atatimuliwa au kucimamishwa kwa sababu iciohuciana na utendaji mbovu wa kiongozi...
 
tatizo hata uchunguzi unaofanyika huwa hauna tija na mwisho w siku riport uake huisikii.....na ukiona hivi ujue bajeti ya wizara hiyo iko karibu maana nakumbuka hata juzi kwa tibaijuka walibomoa nyumba siku moja kabla ya bajeti kusomwa
 
Ni ile ishu ya Umeme Bungeni or, mbona vipaza sauti vilikuwa vinafanya kazi but taa ndio zilikuwa zimezimika, au hivyo vipaza sauti havitumii umeme, Mi nilidhani mule ndani walizima taa wenyewe wakijifanya umeme umekatika,(eti umeme umekatika) ili wamnyemelee Mnyika, but Mungu ni Mkubwa!

jamani huo ukumbi wa bunge si unejengwa miaka ya karibuni tu? pia ulikarabatiwa tena miaka ya karibuni kama kwamba kulifanyika makosa ya designing.... pia si una standby generator?....inakuwaje umeme kukatika inakua big issue au generator nalo walichakachua?
 
Watanzania watu wa ajabu sana, watu wa kuridhika na matatizo.

Wamekosa habari kwa sababu radio na TV zilizima, umeme ulikata, na ndio kawaida.

Kesho yake wanaamka na taarifa kwamba, mkubwa wa kampuni inayoshughulikia umeme kawa fired, wanauliza "kafanya nini?
"

Huyo mkurugenzi hana muda mrefu hapo Tanesco. Kukatika umeme (umeme wa mgao) haujaanza juzi wala jana ni kitu cha muda mrefu sana. Naona ingekuwa hekima kuwakamata na kuwafunga waliotuingiza kwenye deal la Richmond na Dowans kabla ya kumsimamisha kazi huyu jamaa kama tatizo ni kukatika umeme.
 
Kaazi kweli kweli!
Amesimamishwa na bodi ya wakurugenzi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za shirika, msaidizi wake pi kasimamishwa
Na maafisa waaandamizi wengine ili kupisha uchunguZi wa tume huru.

Chanzo
Radio one
 
hivi yule wa Wanyamapori uchunguzi ulishakamilika? manake sheria ya kazi inataka aendelee kupata mshahara hadi uchunguzi ukamilike. Naona list inaongezeka
 
William Mhando (out); tunataka kuona wafuatao pia

Tunataka kuona hatua zikichukuliwa sehemu zifuatazo

PPF, TRC, Bandari na TRA
 
Amesimamishwa na bodi ya wakurugenzi kutokana na ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka Pia wako maofisa wengine wa ngazi za juu.

ITV.

Hiyo bodi ya wakurugenzi ni mpya au ipo tangu zamani? Kama ipo tangu zamani walikuwa wapi muda mpaka mkurugenzi mkuu akafanya ubadhirifu, ukizingatia kuwa TANESCO na mashirika mengine ni sawa kama yanaendeshwa na bodi na wanasiasa?
 
Hiyo bodi ya wakurugenzi ni mpya au ipo tangu zamani? Kama ipo tangu zamani walikuwa wapi muda mpaka mkurugenzi mkuu akafanya ubadhirifu, ukizingatia kuwa TANESCO na mashirika mengine ni sawa kama yanaendeshwa na bodi na wanasiasa?

Better late than NEVER
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom