Umesahau NSSF mkuu tehe tehe haa haaWilliam Mhando (out); tunataka kuona wafuatao pia
Tunataka kuona hatua zikichukuliwa sehemu zifuatazo
PPF, TRC, Bandari na TRA
Amekosa nini jamani huyu kiumbe?, mbona anafanya kazi vizuri na anaimudu vyema kazi yake?.
Filamu mpya imeanza.
Baada ya kuondoka dr.idrisa na nafasi yake kuchukuliwa na mkurugenzi mpya bw.mhando ambaye kwa bahati nzuri alikuwa ni mmoja wa maofsa wa siku nyingi wa shirika hili binafsi tasfiri yangu (wkt huo) ilikuwa tanesko wameshindwa kumpata mtu sahihi wa kushika nafasi hii.kama mbadala wameamua kumpa bw.mhando pengine kwa kuwa ni mtu wa muda mrefu ndani ya shirika.
Baada ya uamuzi huu wa bodi naanza kuona 'sense' ya niliyoyafikiri kipindi hicho
Ukweli ni kwamba nafasi hii (hasa kwa shirika kubwa km tanesko) ni nyeti sana na inahitaji mtu mwenye 'uwezo wa kipekee'
Believe me, watu hawa wapo kwenye jamii yetu lakini SI WENGI hasa kwa tanzania ya leo, in short kuna shortage kubwa sana ya 'director general material' nchini kwa sasa
Atakuwa aligoma kupitisha deal za Wakubwa!
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Unajidai rafiki yako hata jina lake hulijui? ni Badra.
Kiongozi wa nchi dhaifu, so wateule wake dhaifu pia. Na huyu mjeshi wa meremeta, na muuzaadini yetu anafanya nn tanesco..? hivi hakuna mainjinia wanaofaa kuongoza bodi..? Kama dhaifu anampenda sana mpeleke ktk bodi za wanyamapori akatoe mbinu za kuwalinda akina joji- faru ( hope sio kuiba twiga zaidi..!!)
Amesimamishwa na bodi ya wakurugenzi kutokana na ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka Pia wako maofisa wengine wa ngazi za juu.
ITV.
idris rashid ndiye angekua mkombozi wa tanesco pekee!