sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Unajidai rafiki yako hata jina lake hulijui? ni Badra.
Atakuwa aligoma kupitisha deal za Wakubwa!
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Hili nalo neno!. FaizaFox sijui yupo wapi siku hizi na kujifanya ana misemo ya kitanga na kimombasa! lol!
Lazima .....sio bure!
Watanzania watu wa ajabu sana, watu wa kuridhika na matatizo.
Wamekosa habari kwa sababu radio na TV zilizima, umeme ulikata, na ndio kawaida.
Kesho yake wanaamka na taarifa kwamba, mkubwa wa kampuni inayoshughulikia umeme kawa fired, wanauliza "kafanya nini?"