Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
nimejenga hoja kiweledi kwani hii ni fani ambayo naifahamu. Lakini kuna mijutu inatokwa povu kweli. Wengine wanatumia viungo vyote kujenga hoja zao !
Ni hivi: Mkombozi ni Bank ya Wakatoliki na inatoza riba, ambayo ni dhambi kubwa kwa Waislaam. Majority ya wapemba ni Waislaam. Katika tafiti zilizofanywa, jamii ya Wapemba pamoja na Waislaam wengi kwa ujumla walikuwa hawaweki pesa Bank. Ndipo NBC, STANBIC, PBZ, KCB, na sasa AMANA BANK, zimeanzisha mfumo wa kifedha kwa kufuata nidhamu na taratibu za Kiislaam.
Sasa kuna haja gani ya kupigia debe watu ambao hawapo ?
umejenga hoja kiweledi, mijitu imetoka povu.... halafu na wewe lijitu nae ukatoka povu
Hivi kuna ubaya gani wakristu wakifungua akaunti zisizo na riba zinajulikana zaidi kama akaunti za waislamu???
Mbona unabagua bila busara??? assume mimi ni mkristu na nina akaunti KCB isiyo ya riba; je ntakua nimekosea?? na je, muislamu akifungua akaunti mkombozi amekosea??
cha maana ni bank policies kama zinaendana na malengo yako ya kuweka pesa benki............... umekaa kidini-dini tu
sijasikia lile tangazo hata sehemu moja likisema dini